Habarini wapendwa, ni masiku tele yamepita bila kuonana/kusalimiana!habari lenu bana!
Nimerudi tena jamvini!Nilikuwa kwenye mafunzo ya jando, kule kwetu kwenye sato wengi!
Tuendeleze soga kama kawa wapendwa!nijuzeni kimejiri nini humu ndani ya jamvi toka nimeondoka??????????
Habarini wapendwa, ni masiku tele yamepita bila kuonana/kusalimiana!habari lenu bana!
Nimerudi tena jamvini!Nilikuwa kwenye mafunzo ya jando, kule kwetu kwenye sato wengi!
Tuendeleze soga kama kawa wapendwa!nijuzeni kimejiri nini humu ndani ya jamvi toka nimeondoka??????????
uchaguzi kaka, ulinificha mbali sana tanzania hii!nimejitahidi kuwabana wasichakachue kura lakini ndo kama hivyo tena!!!!!
hivi wewe ni she au he? nimesahau, ze finest, unaweza kutukumbusha?
nimeipenda hiyo kaka!kweli vijana wa kawe mmeonyesha mfano wa kuigwa!nadhani kule kwetu nguvu yetu ilikuwa ndogo, tulizidiwa na wachakachuaji!
Hivi wewe ni she au he? nimesahau,
Hivi Semenya ni he au she?
Hivi homosexual na hemaphrodite, tofauti yake nini????
Hivi homosexual na hemaphrodite, tofauti yake nini????
Habarini wapendwa, ni masiku tele yamepita bila kuonana/kusalimiana!habari lenu bana!
Nimerudi tena jamvini!Nilikuwa kwenye mafunzo ya jando, kule kwetu kwenye sato wengi!
Tuendeleze soga kama kawa wapendwa!nijuzeni kimejiri nini humu ndani ya jamvi toka nimeondoka??????????
habari lako bana!!!!!!!!mpwa nimesikia siku hizi una kibajaji aaaaaa NO.........., turbo!sijui ni kweli