Evil among us

Evil among us

Jamaa kaoa, na mke wake kajifungua hivi karibuni, na wamelazwa wodi either ya VIP au Private kwenye moja ya hospitali kubwa hapa jijini Dar.

Lakini ambalo mume hajui ni kwamba mke wake ameathirika (ana UKIMWI), na anatumia ARVs kwa muda mrefu. Na hapo hospitali mke anafanya kila namna ili mume asijue.

Ila mleta uzi kwa kuwa ni medical personel, na tayari katika situation kama hii huwa inaleta kitu inaitwa "ETHICAL DILEMMA" basi kwa usalama wa kibarua chake ameamua kuja kutoa code huku Jf.

Hii Ethical Dilemma huwa inatesa sana, maana Ethical Principle moja inasema "Hauruhusiwi ku-Disclose taarifa za mteja mpaka pale yeye atoe ruhusa", halafu nyingine inasema "Unapaswa kuilinda jamii dhidi ya hatari ya kupata maradhi".
 
Jamaa kaoa, na mke wake kajifungua hivi karibuni, na wamelazwa wodi either ya VIP au Private kwenye moja ya hospitali kubwa hapa jijini Dar.

Lakini ambalo mume hajui ni kwamba mke wake ameathirika (ana UKIMWI), na anatumia ARVs kwa muda mrefu. Na hapo hospitali mke anafanya kila namna ili mume asijue.

Ila mleta uzi kwa kuwa ni medical personel, na tayari katika situation kama hii huwa inaleta kitu inaitwa "ETHICAL DILEMMA" basi kwa usalama wa kibarua chake ameamua kuja kutoa code huku Jf.

Hii Ethical Dilemma huwa inatesa sana, maana Ethical Principle moja inasema "Hauruhusiwi ku-Disclose taarifa za mteja mpaka pale yeye atoe ruhusa", halafu nyingine inasema "Unapaswa kuilinda jamii dhidi ya hatari ya kupata maradhi".
Mbona hatari hii😬
 
Jamaa kaoa, na mke wake kajifungua hivi karibuni, na wamelazwa wodi either ya VIP au Private kwenye moja ya hospitali kubwa hapa jijini Dar.

Lakini ambalo mume hajui ni kwamba mke wake ameathirika (ana UKIMWI), na anatumia ARVs kwa muda mrefu. Na hapo hospitali mke anafanya kila namna ili mume asijue.

Ila mleta uzi kwa kuwa ni medical personel, na tayari katika situation kama hii huwa inaleta kitu inaitwa "ETHICAL DILEMMA" basi kwa usalama wa kibarua chake ameamua kuja kutoa code huku Jf.

Hii Ethical Dilemma huwa inatesa sana, maana Ethical Principle moja inasema "Hauruhusiwi ku-Disclose taarifa za mteja mpaka pale yeye atoe ruhusa", halafu nyingine inasema "Unapaswa kuilinda jamii dhidi ya hatari ya kupata maradhi".
You deserve to be in that organisation, kingsman the secret service.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom