gwangaeto
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 492
- 529
Yaa ii aiko poa, mi nkikosana na manzi silipizi kwenye vitu, akichepuka nachepuka afu maisha yanaendelea, visasi vya niniIla ulifanya vibaya sana! Wewe demu mara ya kwanza alikua anaishi maisha yake na hakutaka kuondoka kwenda kupanga sehem nyingine.Ukamshawishi hadi kwenda kumpangia bado ukamnyanyasa ukamtolea na vitu nje..Huu ni unyanyasaji