Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Mkuu Kabulu katika uongozi wake pale Simba haikuwahi kutwaa ubingwa wa ligi zaidi ya kupigania nafasi ya tatu tu.Kaburu inafaa apewe nafasi, kina mula ngambi wapi pale kwa faida yao hata kusajili wachezaji hawawezi. Kina magori wanalialia Kuna usaliti wakati Mangungu no mwenyekiti jina
The only positive ya uongozi wa wale jamaa ni kuendeleza harakati za ujenzi wa uwanja pale Bunju, na kuanzisha mchakato wa mabadiliko pale Simba.