Hv mheshimiwa huwaga huna cha kuandika au ndo makusudi tu,
Ah kiukweli hata km ndo unajibrand kwa style hii nop inatia ukakasi kidogo sababu kila topic upo halafu unachokiandika ndo hichohicho always.Napata mashaka ku figure out kichwa chako kina nn ndani.