Eunice Chiume, kwanini unapotosha wanachama wa NSSF?

GRAND MUFTI

Senior Member
Jun 3, 2015
136
104
MMGL0274.jpg



Huyu mama ndio mkurugenzi wa Mawasiliano wa shirika la NSSF. Huyu miaka yote amekuwa mwoga wa kujitokeza kujibu hoja mbali mbali zinzohusu shirika hili kwa waandishi wa habari na umma kwa ujumla.

Lakini wiki iliyopita kwa spidi ya ajabu kabisa, kwa kushirikiana na waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alijotokeza kutangazia dunia kupitia mitandao kama vile Whatsapp, facebook, twitter, instagram, viber,google+, na vizingnezo uteuzi tata wa raia wa Uganda (DR CARINA) kuwa kaimu mkurugenzi mkuu wa shirika la hifadhi la NSSF.

Cha ajabu ni kuwa masaa 4 baada ya Jamiiforums kujulisha dunia kuwa huyu aliyepewa hiyo nafasi si mTanzania na ku challenge Waziri Mhagama na watu wake waonyeshe ushaidi kuwa ni mTanzania ilibidi wizara itoe Tamko la kuondoa uteuzi wake

Na ajabu zaidi ni kuwa huyu huyu Mama (Eunice Chiume), amekuwa kimya kwani:

Hajatoa taarifa yoyote ile kwa wanachama, umma na dunia kwa ujumla juu ya kutenguliwa kwa uteuzi wa Dr (MGANDA) Carina.

Sasa inamaana huyu Eunice Chiume anafanya kusudi au hataki kuujulisha umma na wanachama wa NSSF kinachoendelea kwenye hilo shirika au kuna siri gani ambayo hataki tujue au naye anasubiri maelekezo toka kwa Magori?
 
Kama nae ni jipu subiri wazee wa kazi waandae zana waje watumbue tu.
 
Yametolewa maelezo ya kina kwamba Dr. Carina si Mganda. For the sake of fairness that part of the story ought to be covered too.

I don't like xenophobia of any sort.

Maelezo yametolewa na wizara lakini sio NSSF

sasa kimya chake huyu dada tukitafsiri vipi sisi wanachama wa NSSF?

Alipoteuliwa yule Mganda she came out gun blazin na ku flood social media kutujuza

Mambo yalipobadilika she went into hiding.

Makes you question why?
 
Maelezo yametolewa na wizara lakini sio NSSF

sasa kimya chake huyu dada tukitafsiri vipi sisi wanachama wa NSSF?

Alipoteuliwa yule Mganda she came out gun blazin na ku flood social media kutujuza

Mambo yalipobadilika she went into hiding.

Makes you question why?
Kwani yeye ndiye anayeteua?

Kwa nini unamshikia bango anayetangaza wakati wanaoteua unawaacha?

Kama wanaoteua wamejichanganya na kumuacha mtangazaji in an awkward position, utamlaumu vipi mtangazaji?
 
Naamini ni Mtazania.

Issue hapa huu utendaji wake wa kazi ambao umeegemea upande mmoja tuuu
Hizi habari za Utanzania zitatumaliza.

Huyo Dr. Carina ni Mtanzania. Lakini kashikiwa bango kwamba Mganda.

Huyo Eunice ni Mtanzania, tunamjua kasoma Muhimbili, dada yake Steven, walikuwa wanakaa Maweni St. Upanga, kaolewa na one of the late Kanyama Chiume's sons.

By te way, Eunice ana msiba mkubwa wa wifi yake aliyefariki Mount Vernon, NY, wamezika jana nafikiri Kinondoni.

Hivyo siwezi kushangaa kama hayupo kazini na ndiyo maana hajatia tamko lolote
 
Inaelekea nae atatumbuliwa muda si mrefu ubini wa jina lake kama Mmalawi..
 
Kwani yeye ndiye anayeteua?

Kwa nini inamshikia bangi anayetangaza wakati wanaoteua unawaacha?

Kama wanaoteua wamejichanganya na kumuacha mtangazaji in an awkward position, utamlaumu vipi mtangazaji?

Hakuna aliyeshikiwa bango

Issue hapa ni kuwa siku zote amekuwa akijifiicha na hajitokezi kujibu tuhuma mbali mbali
Lakini siku alipoteuliwa mtu ambaye uraia wake una utata bas huyu mama alijitokeza na kutoa press release yenye vingereza na misamiati ya kila namna.

Masaa machache baada ya kuonekana kuna blunder imefanyika na wizara kutoa tamko, huyu mama amegoma kabisaa mpaka leo kutoa taarifa zozote zile kuwajulisha wanachama wa NSSF kilichojitokeza na utata ulijitokeza

Hiyo wewe unatafsirije ? Hivi mfano NSSF ingekuwa ni listed company kwenye stock market ingekuwa ishakuwa muflis kwani cofidence kwa shareholders ingekuwa at all time low if not imekufa kabisaa

Mimi kama mwanachama mchangiaji wa hili shirkka najiuliza maswali mengi na majibu sipati kwani huyo mwenye kitengo chake kaamua kwa kusudi kuingia mitini.
 
Hizi habari za Utanzania zitatumaliza.

Huyo Dr. Carina ni Mtanzania. Lakini kashikiwa bango kwamba Mganda.

Huyo Eunice ni Mtanzania, tunamjua kasoma Muhimbili, dada yake Steven, walikuwa wanakaa Maweni St. Upanga, kaolewa na one of the late Kanyama Chiume's sons.

By te way, Eunice ana msiba mkubwa wa shemeji yake aliyefariki Mount Vernon, NY, wamezika jana nafikiri Kinondoni.

Hivyo siwezi kushangaa kama hayupo kazini na ndiyo maana hajatia tamko lolote
Kwa maelezo yako sasa sina shaka ni Mtanzania ingawa Kanyama Chiume alikuwa mmalawi.
 
Hakuna aliyeshikiwa bango

Issue hapa ni kuwa siku zote amekuwa akijifiicha na hajitokezi kujibu tuhuma mbali mbali
Lakini siku alipoteuliwa mtu ambaye uraia wake una utata bas huyu mama alijitokeza na kutoa press release yenye vingereza na misamiati ya kila namna.

Masaa machache baada ya kuonekana kuna blunder imefanyika na wizara kutoa tamko, huyu mama amegoma kabisaa mpaka leo kutoa taarifa zozote zile kuwajulisha wanachama wa NSSF kilichojitokeza na utata ulijitokeza

Hiyo wewe unatafsirije ? Hivi mfano NSSF ingekuwa ni listed company kwenye stock market ingekuwa ishakuwa muflis kwani cofidence kwa shareholders ingekuwa at all time low if not imekufa kabisaa

Mimi kama mwanachama mchangiaji wa hili shirkka najiuliza maswali mengi na majibu sipati kwani huyo mwenye kitengo chake kaamua kwa kusudi kuingia mitini.
Nani uraia wake una utata? Una utata gani? Umejiridhisha vipi kwamba una utata na si habari za kupika tu?
 
Nani uraia wake una utata? Una utata gani? Umejiridhisha vipi kwamba una utata na si habari za kupika tu?

Sijaesma kama uraia wa Eunice una utata

ninachotaka kujua ni kwa nini Eunice hataki kutoa taarifa zozote zile?
 
Kwa maelezo yako sasa sina shaka ni Mtanzania ingawa Kanyama Chiume alikuwa mmalawi.

Issue hapa sio uraia wa EUNICE CHIUME issue hapa ni yeye kama mkurugenzi wa mawasiliano kukaa kimya na kutowajuza wanachama kinachoendelea kwenye hilo shirika.
 
Kwa maelezo yako sasa sina shaka ni Mtanzania ingawa Kanyama Chiume alikuwa mmalawi.

..100%.

..Kanyama Chiume ni Mmalawi lakini watoto wake wamekulia Tanzania.

..kuna binti yake amefariki hivi karibuni Marekani, lakini anazikwa Tanzania.
 
Mmalawi ni nani na Mtanzania ni nani?

Mimi nikixhukua uraia wa Marekani leo na kuukana uraia wa Tanzania na kyurudisha mpaka hati ya kusafiri ya Tanzania, nitakuwa Mmarekani au Mtanzania?
Unazungumzia Eunice au Kanyama Chiume? Eunice very likely kazaliwa hapa Tz. Sina uhakika kama Kanyama aliukana umalawi wake.
 
Issue hapa sio uraia wa EUNICE CHIUME issue hapa ni yeye kama mkurugenzi wa mawasiliano kukaa kimya na kutowajuza wanachama kinachoendelea kwenye hilo shirika.
Eunice Chiume amefiwa na shemeji yake Jessie Mgeni Chiume, dada yake na mmewe. Ndiyo kwanza wamezika jana Kinondoni.

Kama hajatoa tamko, mimi naweza kufikiri kwamba ni kwa sababu yupo msibani.
 
..100%.

..Kanyama Chiume ni Mmalawi lakini watoto wake wamekulia Tanzania.

..kuna binti yake amefariki hivi karibuni Marekani, lakini anazikwa Tanzania.
Kuna mheshimiwa sijampata vizuri kuhusu Kanyama. Sijui kama aliukana unyasa kuwa mbongo!
 
Back
Top Bottom