ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,080
- 84,972
Hii hoja imejadiliwa na Bunge la Ulaya kwamba EU inamwaga mabilioni ya Fedha za Misaada na mikopo na fuu Kwa Nchi za Kiafrica Ili kujenga mahusiano ya manufaa Kila upande lakini Afrika inaonekana kutegemea China na Russia ambao hawana Msaada wowote wa kiuchumi Kwa Afrika zaidi ya kunufaika Kwa pesa zinazotoka Ulaya kwenda kujenga Afrika.
View: https://www.instagram.com/reel/DMKNZLQN09W/?igsh=cjB6eWVhZWEzbTFw
My Take
Pamoja na msemo wa anaekufaa Kwa dhiki ndio Rafiki lakini Ulaya & USA waelewe mambo yafuatayo;
1.Kwanza Wazungu waelewe kwamba Afrika inaiona Ulaya na USA kama makoloni Bado,so Misaada Yao na mikopo ni kurehesha tuu fadhila ya kile walichoiba zamani.
2.Pili Ulaya waelewe kwamba Africa inahitaji kuheshimiwa kuliko kupewa Fedha, haitaki uhusiano wa mmja kuonekana ni bwana (Ulaya & USA) na mwingine mtumwa (Africa) wa kupewa so hii mentality ndio inafanya kwamba Afrika iegemee China na Russia at EU expenses licha ya hizo Mataifa kutotoa hela Zozote.Jamii za kiafrika zinathamini Heshima na utu kwanza.Pia soma (2) Je, ni sawa Bunge la EU kuingilia uhuru wa mahakama zetu lakini si sawa AG wetu kufanya hivyo? Kisa ni hizo USD 170 million kwa mwaka wanazotupa | JamiiForums Je, ni sawa Bunge la EU kuingilia uhuru wa mahakama zetu lakini si sawa AG wetu kufanya hivyo? Kisa ni hizo USD 170 million kwa mwaka wanazotupa
3.Afrika haifungamani na upande wowote.
Mwisho Nchi za kiafrika nazo zijitathimini athari za mda mrefu za mahusiano na China na Russia kama tutaishia kupewa Heshima tuu huku tunanyonywa.
Afrika ikuze intra-Africa mutual interdependence ndio kitatusaiia badala ya kuhangaika na hao watu weupe bila kujali Bara wanakotokea.
View: https://www.instagram.com/reel/DMKNZLQN09W/?igsh=cjB6eWVhZWEzbTFw
My Take
Pamoja na msemo wa anaekufaa Kwa dhiki ndio Rafiki lakini Ulaya & USA waelewe mambo yafuatayo;
1.Kwanza Wazungu waelewe kwamba Afrika inaiona Ulaya na USA kama makoloni Bado,so Misaada Yao na mikopo ni kurehesha tuu fadhila ya kile walichoiba zamani.
2.Pili Ulaya waelewe kwamba Africa inahitaji kuheshimiwa kuliko kupewa Fedha, haitaki uhusiano wa mmja kuonekana ni bwana (Ulaya & USA) na mwingine mtumwa (Africa) wa kupewa so hii mentality ndio inafanya kwamba Afrika iegemee China na Russia at EU expenses licha ya hizo Mataifa kutotoa hela Zozote.Jamii za kiafrika zinathamini Heshima na utu kwanza.Pia soma (2) Je, ni sawa Bunge la EU kuingilia uhuru wa mahakama zetu lakini si sawa AG wetu kufanya hivyo? Kisa ni hizo USD 170 million kwa mwaka wanazotupa | JamiiForums Je, ni sawa Bunge la EU kuingilia uhuru wa mahakama zetu lakini si sawa AG wetu kufanya hivyo? Kisa ni hizo USD 170 million kwa mwaka wanazotupa
3.Afrika haifungamani na upande wowote.
Mwisho Nchi za kiafrika nazo zijitathimini athari za mda mrefu za mahusiano na China na Russia kama tutaishia kupewa Heshima tuu huku tunanyonywa.
Afrika ikuze intra-Africa mutual interdependence ndio kitatusaiia badala ya kuhangaika na hao watu weupe bila kujali Bara wanakotokea.