EU Observer, Mbowe, Kova na Kura za Tunduma

EU Observer, Mbowe, Kova na Kura za Tunduma

Nimejitahidi kufuatilia matokeo ya kura Tunduma yaliyotangazwa na NEC sijayaona. Mwenye uhakika NEC wametangaza Tunduma atuwekee hapa. Na kama haya jatangazwa.

Ningeshauri Kova awachukue EU watazamaji wamfuate Mbowe awaambie hizo kura za Tunduma alizotaja kazitoa wapi na zimetangazwa na NEC ipi ya CHADEMA ama NEC ya Taifa.

Na kama NEC ya Taifa ndo imetangaza basi Mbowe alete mawakala wote wa vyama hivyo copy yake na aoneshe mbele ya media.
MkamaP ebu tupeni link ya malalamiko ya Mbowe akitaja matokeo haya ya Tunduma kuwa yametolewa na NEC kwa idadi hiyo ya kura 6000. Bahati mbaya mimi sijaiona ninasoma tu hapa mtandaoni na picha inayosambazwa ya matokeo yanayodaiwa ya kweli huko Tunduma niliiona pia hapa mtandaoni ikiletwa na mtu amabaye alikuwa akidai anawatafuta akina Lissu bila mafanikio kuwapa hayo matokeo! Sikujua kama Mh Mbowe pia aliyanukuu katika malalamiko yake
 
Nimepitia matokeo yote yaliyotangazwa na NEC kutoka official website ya NEC lakini matokeo ya Tunduma sijayaona-- sasa matokeo anayosema Mbowe kwamba NEC wametangaza kura 6000 sijui ni kutoka NEC ipi!!

Anachotaka Mbowe kusema uongo ili kutengeneza mazingira ya kuamsha vurugu.Waandishi wa habari wasimrushe live.Wakiitisha press conference wamrekodi tu kwanza halafu waende wakaangalie na kuhakikiki hicho asemacho kama sahihi kwa ku-confirm tume ndipo warushe.

Mbowe anataka kutumia press zile coverage za live kulipua umma ufanye vurugu kwa vitu vya kizushi.Vyombo vya habari muwe makini na press conference zote za wanasiasa.Msirushe live kwenye TV wala RADIO wala kuandika kama walivyosema bila kuhakiki usahihi wa taarifa zao ili msiliingize taifa kwenye majanga
 
Nimejitahidi kufuatilia matokeo ya kura Tunduma yaliyotangazwa na NEC sijayaona. Mwenye uhakika NEC wametangaza Tunduma atuwekee hapa. Na kama haya jatangazwa.

Ningeshauri Kova awachukue EU watazamaji wamfuate Mbowe awaambie hizo kura za Tunduma alizotaja kazitoa wapi na zimetangazwa na NEC ipi ya CHADEMA ama NEC ya Taifa.

Na kama NEC ya Taifa ndo imetangaza basi Mbowe alete mawakala wote wa vyama hivyo copy yake na aoneshe mbele ya media.

Hata mimi nimejaribu kuangalia matokeo yalio tangazwa na nec sijaona walipotoa matokeo ya uraisi kwa jimbo la Tunduma sijajua viongozi wa ukawa hayo matokeo wanayo yasema yametangazwa na nani. Kama ni kweli tunashauri waweke ushaidi wa hati ya matokeo hayo, maana hati hizo utolewa matokeo yakiisha tangazwa.
 
Nimejitahidi kufuatilia matokeo ya kura Tunduma yaliyotangazwa na NEC sijayaona. Mwenye uhakika NEC wametangaza Tunduma atuwekee hapa. Na kama haya jatangazwa.

Ningeshauri Kova awachukue EU watazamaji wamfuate Mbowe awaambie hizo kura za Tunduma alizotaja kazitoa wapi na zimetangazwa na NEC ipi ya CHADEMA ama NEC ya Taifa.

Na kama NEC ya Taifa ndo imetangaza basi Mbowe alete mawakala wote wa vyama hivyo copy yake na aoneshe mbele ya media.
Wewe ni nani
 
Unaona hayo matokeo ya Tunduma, wanasema NEC imetangaza Lowasa kapata kura 6000, wakati NEC haijatangaza matokeo ya Tunduma. Sielewi kama unanipata.

Mbona povu linakutoka sana mkuu si utulie usubiri mpaka litangazwe hilo jimbo uone tofauti?
 
Wala hayupo hapa huyu Pierre, yupo Ireland anatuzingua tu....

Hupo Ireland ana shindia mikate na soseji hahaa. Kaambiwa akasomee utawala ili akirudi Tz mzee aunganishe Ubunge wa kutengeneza kama KIPI.
 
Mbona povu linakutoka sana mkuu si utulie usubiri mpaka litangazwe hilo jimbo uone tofauti?
Yaani kuna watu wakisikia mwanasiasa wanae mpenda kasema kitu tayari wanaamini bila hata ya kufuatilia, matokeo ya tunduma ndio yametangazwa mchana huu na yapo sahii kama karatasi wanayoionesha na si kama wanavyodai kwamba yametangazwa wamepata kula 6000( shame on all of u ambao mnataka kupandisha tu chuki na mihemko ya watu).
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • Screenshot (23).png
    Screenshot (23).png
    105.1 KB · Views: 54
  • tunduma.jpg
    tunduma.jpg
    22.5 KB · Views: 58
Back
Top Bottom