Nancyjoa13
Senior Member
- May 18, 2018
- 167
- 97
unatamani iwe hivyo lakini wewe binafsi ndo utasimama hii nchi itamea sana kama mwereziHii nchi itafika mahali itasimama.
unatamani iwe hivyo lakini wewe binafsi ndo utasimama hii nchi itamea sana kama mwereziHii nchi itafika mahali itasimama.
TIC wanafanya kazi kubwa sana kwa maendeleo ya Taifa letu lakini kuna watu wachache wanawadharau na hii ni mbaya sana ila najua Rais wangu mpendwa JPM anafahamu mchango wa TICTIC yainadi Tanzania mbele ya nchi 160
Kongamano la Kimataifa la Uwekezaji (World Investment Forum) limefunguliwa tarehe 22 Oktoba 2018 Geneva, Uswisi na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (UNCTAD) Dkt. Mukisa Khitui na litaendelea mpaka October 26,2018.
Kauli mbiu ya kongamnao ni ‘Uwekezaji kwa maendeleo endelevu’ (investing for sustainable development) ambapo majadiliano yatajikita kwenye changamoto za uwekezaji katika mazingira mapya ya utandawazi na mapinduzi ya viwanda (Globalization and Industrialization)
Balozi Dkt. James Msekela (wa tatu kutoka kulia) na Mkuregenzi wa TIC Bw. Geoffrey Mwambe (wa ili kutoka kulia) wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa uwekezaji Geneva,Uswisi.
Kongamano hilo la aina yake huandaliwa kila baada ya miaka miwili na UNCTAD kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa masuala ya Uwekezaji. Takribani washiriki zaidi ya 5,000 wanashiriki kutoka nchi 160 duniani ikiwemo Tanzania na ujumbe wake unaongozwa na Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva, Dkt. James Alex Msekela.
Washiriki wa kongamnao hilo ni kutoka katika nyanja mbalimbali za umma na sekta binafsi ikiwamo Wakuu wa nchi, Mawaziri Wakuu, Mawaziri, Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi za Uwekezaji. Wengine ni Watendaji wa Makampuni ya Kimataifa na Ushirikiano wa Hisa, Wasimamizi wa Mifuko ya Fedha, Wakurugenzi Wakuu wa Mashirika ya Sekta Binafsi, Wataalam wa eneo la Uwekezaji wa Kimataifa,Wabunge,Wawakilishi wa Vyama vya Kiraia, Wasomi Maarufu, na vyombo vya Habari vya Kimataifa
Mkurugenzi TIC Mwambe kuinadi Tanzania mbele ya nchi 160 – Millardayo.com
Nijibuni swali moja tu kwamba ni mwekezaji yupi aliyeineemesha Marekani?
unahisi serikali haijaajiri?Unaelewa maana ya investor? Hata ccm ni investor pia ila imewekeza ujinga katika Taifa na results zake ndio majinga kama wewe.
Mo Dewji ni muwekezaji na familia ilitowa Ulmitum msipomuachia mpaka kufikia tarehe 20/10/2018 wangesimamisha production ndio mngeelewa kwa vitendo investor ni nani?
By the way serikali imeajiri Watanzania wangapi?
Mashoga wako salama Tanzania.
Very well said!Msimamo wangu mimi ni bora waje wawekezaji wazungu mana wanakuja na mitaji yao na kuna waafrika wanabshatika kupata mishahara mikubwa mpaka mil.50 kwa mwezi.
Nachukia huu uwekezaji wa wanasiasa hasa wa wana CCM wachache ambao wamashika viti ,walioifanya hii nchi kuwa kampuni lao wakati hawajaingia na mtaji wowote zaidi ya kofia na tisheti za kijana na kusifiana.
Wanyonyaji na mabwanyenye wa CCM wanafukuza watu waliowekeza mitaji yao wakati wao ndio wanyonyaji na makupe wakubwa wanaopora kodi toka kw a wauza vitumbua ili wajilipe kuanzia mil.7 mpaka 12 kwa mwezi bila kuwekeza au kuzalisha chochote ndani ya mwezi mzima zaidi ya kutembembelea magari mazuri,nyumba nzuri,ulinzi na madaraka makubwa kama maCEO wa nchi hii.
Kwa sasa wanapiga vita sana watu na mitaji yao eti kwa kujifanya ni wazalendo wanaolinda mawe yaliyofichwa huko ardhini na Mungu.
Hawa maCEO walijibinfshia nchi wakiulizwa mbona wao hawafanyi biashara kama wanafikiri biashara ni kuiba tu wanabaki kurukaruka kama maharage jikoni kwa sababu wanajua kuwa ni matapeli na wanapata mabilioni ya pesa bila kuwekeza chochote zaidi ya kuwajengea chuki wawekezaji wa kweli wenye mitaji yao na wananchi.
Tuwakatae kwanza wanyonyaji tunaowashangilia na kuwalipa mamilioni wakati hawajawahi kuwekeza chochote nchini na wengine hawalipi hata kodi kwenye mishahara yao.
iendeleze weweTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Umenena pointTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Tanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Hii website hawa jamaa wameamua kumukwamisha Rais lakini kwa uwezo wa Mungu atasonga mbeleUtakuwa unatumiwa na wazungu mkuu.
Hizi habar vijana wa ufipa huwa hawapendi kuzisikia na usishangae ndio hao wameamua kuichafua nchi kwa sababu wamebanwa hatarHafla ya Standard Chartered yabainisha viwanda 200 vya China kujengwa Tanzania
katika kipindi cha miaka mitatu ijayo inatarajia kuwekeza katika viwanda 200 nchini Tanzania vitakavyokuwa na uwezo wa kuajiri moja kwa moja Watanzania laki mbili.Kwa sasa uwekezaji wa China nchini Tanzania umetoa fursa za ajira za moja kwa moja 150,000 na zisizokuwa za moja kwa moja 350,000.Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mh. Charles Mwijage katika hafla ya chakula cha jioni kwa wawekezaji kutoka China.
hatuja sahau bado
TIC ipo kwa ajili ya nani??? Kweli wewe unatumia ilo tobo lako kufikiriTanzania haiwezi kuendelezwa na Investors...Tuache hadaa!
Hilo mkuu sio la kuuliza lakini Mungu ni mwanifuUtakuwa unatumiwa na wazungu mkuu.
Afrika kusininipe mfano wa nchi iliyoendelezwa na wawekezaji!!
Hafla ya Standard Chartered yabainisha viwanda 200 vya China kujengwa Tanzania
katika kipindi cha miaka mitatu ijayo inatarajia kuwekeza katika viwanda 200 nchini Tanzania vitakavyokuwa na uwezo wa kuajiri moja kwa moja Watanzania laki mbili.Kwa sasa uwekezaji wa China nchini Tanzania umetoa fursa za ajira za moja kwa moja 150,000 na zisizokuwa za moja kwa moja 350,000.Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mh. Charles Mwijage katika hafla ya chakula cha jioni kwa wawekezaji kutoka China.
hatuja sahau bado