masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
Sijui hiyo mishahara anapata wapi kama sio haoNi lini tuliwahi kusimama wenyewe Mkuu ?
Sijui hiyo mishahara anapata wapi kama sio haoNi lini tuliwahi kusimama wenyewe Mkuu ?
utalia hadi machozi yakukaukeMaskini nchi yangu...Nakulilia Tanzania.
Hajui hata kodi inayogeuzwa mshahara wanatoa wawekezaji..Are you serious?Je unafahamu unachokiongea?
Ama wewe unadhani wawekezaji ni lazima watoke nje?
Unafahamu maana ya uwekezaji?
Majanga haya!
Sio ajira nyigi ni hadi rais analipwa mshahara kwa kodi ya wawekezaji hasa wakubwa.Hahaha bila investors unadhani maendeleo yanatoka wapi? Wao ndio private sector na wanabeba ajora nyingi kuliko serikal + wanaliingizia pato taifa.. wakiondoka hali itakuwa tete zaid ya hapa?
Haumuoni waziro wa viwanda anavyohangaika kutafuta wawekezaji?
Mkuu i was astonished!Hajui hata kodi inayogeuzwa mshahara wanatoa wawekezaji..