Eti weka heshima bar, kuliko kuhangaika na heshima home

Centia2

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
1,018
1,621
Wewe ni me/ke unajitahidi kumwelekeza mwenzio asifanye vitendo vya uvunjifu wa familia.Mwenzio ndo kwanza haelewi.
Anafanya usichopenda.
Anarudia mlichokubaliana kuacha.
Anakudharau.
Anakunyima unyumba n.k n.k
We pita kimyaa nenda zako agiza utaeleweka hata kama siyo kwa mkeo ila hata kwa mhudumu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom