Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,154
Nimesikia kwa masikitiko makubwa sana kuhusu sheria ya kura ya maoni itakayo tumika kwenye kupigia Katiba pendekezwa
1. Eti Wanzanzibar watapiga kura hata wakiwa bara? Nani atawatambua, je kutakuwa na masanduku special ya Wanzanzibar. Je sheria ya kura ya maoni ya zanzibar inayomtaka mzanzibari kuwa na kitambulisho cha ukaazi na kuwa awe ameishi miaka isiyopungua 3 itapumzishwa kwa mda?
2. Sheria inataka uwepo mda usio pungua miezi 3 kufikia wananchi kupiga kura. Kwanza wananchi kuelimishwa, pili kupiga kampeni kwa kambi ya HAPANA na Ndiyo huo mda uko wapi?
3. Eti kambi za ndio na HAPANA zitatuma maombi kisha kukubaliwa ama kukataliwa uuuuwi fisi umpe nyama???
4. Hata kura ya HAPANA ikipita /ikishinda yatafanyika marejeo kisha ipigwe kura tena baada ya siku 60
5. Kwa kuwa tume ya Warioba imevunjwa nani ataratibu marejeo hayo... Nani atapeleka bungeni kwa nini tumeikataa!??
Yaani kwa ufupi, 6 na kundi lake la Maescrw mnaiua nchi hii
1. Eti Wanzanzibar watapiga kura hata wakiwa bara? Nani atawatambua, je kutakuwa na masanduku special ya Wanzanzibar. Je sheria ya kura ya maoni ya zanzibar inayomtaka mzanzibari kuwa na kitambulisho cha ukaazi na kuwa awe ameishi miaka isiyopungua 3 itapumzishwa kwa mda?
2. Sheria inataka uwepo mda usio pungua miezi 3 kufikia wananchi kupiga kura. Kwanza wananchi kuelimishwa, pili kupiga kampeni kwa kambi ya HAPANA na Ndiyo huo mda uko wapi?
3. Eti kambi za ndio na HAPANA zitatuma maombi kisha kukubaliwa ama kukataliwa uuuuwi fisi umpe nyama???
4. Hata kura ya HAPANA ikipita /ikishinda yatafanyika marejeo kisha ipigwe kura tena baada ya siku 60
5. Kwa kuwa tume ya Warioba imevunjwa nani ataratibu marejeo hayo... Nani atapeleka bungeni kwa nini tumeikataa!??
Yaani kwa ufupi, 6 na kundi lake la Maescrw mnaiua nchi hii