dah... Wewe mkuu kwani umezaliwa wapi na kukulia wapi?wanatongozaga tena wanasumbua mbaya akikukaganda hadi anakutishia atajinyonga usipompa penzi lako,halafu wanahonga mbayaa....!!
Mapenzi ni ya wote ni haki yao tusiwahukumu!!tena hiyo mimi naona ndo inakua poa akiji express herself
shida ya mwanamke anayetongoza atakupeleka kwenye extremes mbaya sana za mapenzi.
Amini usiamini kama umeoa ndoa yako itakuwa inapumulia mashine.
Napenda kuuliza ,kwani wengi huona mengi ,hivi wapo wanawake wanaotongoza wanaume ? Mbali na wale machangudoa wa mabarabarani nazungumzia wanawake wakwaida ambao huwa wanajiheshimu ,na huweza kufananisha na wanaume kwa uwepo wa utongozaji ndani ya nafsi zao na kuweza kutongoza ,pengine kumvizia jamaa njiani au uchochoroni na kumpa maneno au pengine ofisini ,hivi wnawake huwaga nao wanatongoza ,kivipi ?
Umewahi kukutana nao au yamewahi kukutokea au kukuta !!! :A S 39:
ni kweli!Wanaume wengi wanaotongozwa na wanawake huwa wanawakubalia. Wengi hawachomoi kwny mtego wao
Hapana hawatongozi ,ndivyo ulivyosema naona tayari kumekuwa na mvutano .
sikukatalii hata kidogo sema nitang'atang'ata kidole kidogo halafu nakuuliza tu unataka kunichezea au...........!!teh tehe ha ha LMAOsiku nikikutongoza utajisikiaje!!!!!!!!!!!
Napenda kuuliza ,kwani wengi huona mengi ,hivi wapo wanawake wanaotongoza wanaume ? Mbali na wale machangudoa wa mabarabarani nazungumzia wanawake wakwaida ambao huwa wanajiheshimu ,na huweza kufananisha na wanaume kwa uwepo wa utongozaji ndani ya nafsi zao na kuweza kutongoza ,pengine kumvizia jamaa njiani au uchochoroni na kumpa maneno au pengine ofisini ,hivi wnawake huwaga nao wanatongoza ,kivipi ?
Umewahi kukutana nao au yamewahi kukutokea au kukuta !!! :A S 39:
sikukatalii hata kidogo sema nitang'atang'ata kidole kidogo halafu nakuuliza tu unataka kunichezea au...........!!teh tehe ha ha LMAO