AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,893
Nape nauye anawauliza wanavijiji ati
katiba inawaletea madawa hospitali....hapana
katiba inawaletea chakula..................hapana
katiba inawaletea maji...................hapana
kadhalikakadhalika
nilivyokuwa najua mimi ni kwamba, katiba yetu ikiwa bora kutakuwa na accountability kwa viongozi hivyo hawataiba, na keki ya taifa itamegwa vizuri kwa maslahi ya wananchi wote.katiba ikiwa mbaya tutaendelea kuishi na serikali ya kifisadi milele na watu wachache watanufaika wakijijini ndio hawatapata kitu kabisa. sasa nape anaposema katiba haiwezi kuleta maji, au madawa, ana maana katiba haina faida? sasa kule dodoma wanafanya n ini sasa? na kwani katiba ikiwa nzuri hela zile ambazo wangeiba mafisadi si ndio zingewanunulia wananchi madawa na kuwaletea maji? hivi kwanini viongozi wa ccm wanawachukulia watz poa sana? miaka yote wamekuwa wakiwapiga changa la macho wanavijiji kwasababu hawana uelewa mzuri. Mungu ataisaidia Tanzania na kuiokoa na mkoloni huyu wa Tanzania.
katiba inawaletea madawa hospitali....hapana
katiba inawaletea chakula..................hapana
katiba inawaletea maji...................hapana
kadhalikakadhalika
nilivyokuwa najua mimi ni kwamba, katiba yetu ikiwa bora kutakuwa na accountability kwa viongozi hivyo hawataiba, na keki ya taifa itamegwa vizuri kwa maslahi ya wananchi wote.katiba ikiwa mbaya tutaendelea kuishi na serikali ya kifisadi milele na watu wachache watanufaika wakijijini ndio hawatapata kitu kabisa. sasa nape anaposema katiba haiwezi kuleta maji, au madawa, ana maana katiba haina faida? sasa kule dodoma wanafanya n ini sasa? na kwani katiba ikiwa nzuri hela zile ambazo wangeiba mafisadi si ndio zingewanunulia wananchi madawa na kuwaletea maji? hivi kwanini viongozi wa ccm wanawachukulia watz poa sana? miaka yote wamekuwa wakiwapiga changa la macho wanavijiji kwasababu hawana uelewa mzuri. Mungu ataisaidia Tanzania na kuiokoa na mkoloni huyu wa Tanzania.