Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,290
- 108,306
Si unajua tatizo linatuhusu wengi? Unaweza kuta na mimi nimo, oh!!!
Hahaha mkuu na wewe rada haisomi fresh??? kunywa mchanganyiko wa tende na maziwa
Si unajua tatizo linatuhusu wengi? Unaweza kuta na mimi nimo, oh!!!
Kuna mtu ameandika kwa Aunt Bettie (gazeti la mwananchi) anaomba ushauri eti uume wake mdogo afanyeje? Sasa tunajiuliza ameulinganisha na wanani na aliuona vipi? Kuna mtu ana wazo lolote? Sasa huyo aunt Bettie alivyomshauri ndio kituko kabisa. Kamwambia aongee na mama yake asione aibu kwa sababu ndiye aliyemzaa!!!! Ushauri mwingine!!!
Namshauri ajtahidi kuzama maneo yasiyo hatarishi kama kwa watu wa umri wake, akiona na huko anaelea ajaribu kutafuta bikra, akiona bado anaelea awaone wamasai!
Kuna mtu ameandika kwa Aunt Bettie (gazeti la mwananchi) anaomba ushauri eti uume wake mdogo afanyeje? Sasa tunajiuliza ameulinganisha na wanani na aliuona vipi? Kuna mtu ana wazo lolote? Sasa huyo aunt Bettie alivyomshauri ndio kituko kabisa. Kamwambia aongee na mama yake asione aibu kwa sababu ndiye aliyemzaa!!!! Ushauri mwingine!!!
Kuna mtu ameandika kwa Aunt Bettie (gazeti la mwananchi) anaomba ushauri eti uume wake mdogo afanyeje? Sasa tunajiuliza ameulinganisha na wanani na aliuona vipi? Kuna mtu ana wazo lolote? Sasa huyo aunt Bettie alivyomshauri ndio kituko kabisa. Kamwambia aongee na mama yake asione aibu kwa sababu ndiye aliyemzaa!!!! Ushauri mwingine!!!