MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 560
- 320
Inaniuma sana kwa baadhi ya wanasiasa kuendelea kutaka kukwamisha maendeleo ya Taifa na usalama wa raia,nchi,n.k.
Ila nasikitika tunapowataja hadharani kupitia jamii foram mnaziondoa hizo post,na post ikiwepostiwa inayoudhi nakuudhi serkali,jamii foram mmekuwa mkiziacha zikisomwa na haziondolewi....
Naona kifatacho hata nyie uongozi wa jamii foram nakuwa na mashaka na nyie......
Serkali iwakakague vizuri sababu inauma sana na sijaona fare hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nasikitika tunapowataja hadharani kupitia jamii foram mnaziondoa hizo post,na post ikiwepostiwa inayoudhi nakuudhi serkali,jamii foram mmekuwa mkiziacha zikisomwa na haziondolewi....
Naona kifatacho hata nyie uongozi wa jamii foram nakuwa na mashaka na nyie......
Serkali iwakakague vizuri sababu inauma sana na sijaona fare hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app