Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,208
- 1,038
Nimeipata sehemu na imenipa mawazo. Kimsingi binafsi naunga mkono:
Siasa ina uwiano mkubwa sana na
ujinga. Ili uwe mwanasiasa mzuri
inabidi uwe mchangamfu hata pale
unapoumizwa. Itakulazimu
utabasamu hata ukitukaniwa mama
yako. Uwe msafi vipi, ukiwa
mwanasiasa active utachafuliwa tu.
Siasa zinavuruga dunia,
zinaiyumbisha Tanzania, wengi siyo
wakweli, wavivu, wamekosa
ubunifu wa kushawishi wananchi,
matokeo yake wamekuwa vinara
wa siasa za majitaka. Nachukia
sana siasa za kuchafuana.
Source: FB - Luqman Maloto
Siasa ina uwiano mkubwa sana na
ujinga. Ili uwe mwanasiasa mzuri
inabidi uwe mchangamfu hata pale
unapoumizwa. Itakulazimu
utabasamu hata ukitukaniwa mama
yako. Uwe msafi vipi, ukiwa
mwanasiasa active utachafuliwa tu.
Siasa zinavuruga dunia,
zinaiyumbisha Tanzania, wengi siyo
wakweli, wavivu, wamekosa
ubunifu wa kushawishi wananchi,
matokeo yake wamekuwa vinara
wa siasa za majitaka. Nachukia
sana siasa za kuchafuana.
Source: FB - Luqman Maloto