habari ya mapenzii niulize mimiii...we uko moyonii kelele za ninii..ninakuheshimu niamini vumilia kidogoo nimchunee!!
Hiyo ngumu kumeza..... leo nakuweka wazi,
nambie nimuache aende!
na magari nirudishe,
wazazi uwambie,
kwenye nyumba watoke,
usimame kama mume ...
jamaa alishindwa kujibu hoja na kuishia kulalamika tu, lakini ukweli alipewa na decision akashindwa kufanya
eti nikuvumile!!
kushea na bwana yule
Wapo mabinti japo wachache sana ambao still wanaweza kumpenda mtu KWELI bila kujali sana pesa au hali yake kiuchumi. Wakishakuwa pamoja basi pesa watazitafuta tu.
hayo maneno tu nduguMapenzi yangekuwa pesa ndoa zingefungwa benki..nimeisikia hiyo kwa watu