Eti ni kweli? Nipeni uhakika!

MARCKO

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
2,258
274
Nimepigiwa simu na majamaa zangu nikaambiwa juzi OLEMEDEYE GOODLUCK (naibu waziri) alipata kizazaa kijijini Shambarai mbuguni baada ya mkutano wake wa kampeni kuibuka vurugu? na vijana kuanza kumpayukia 'atokeee, aendee, tokaaa,..' Hebu niakikishieni hiyo nijue moja.
 
Muulize aliyekupa habari atakuwa anajua vyema, nafikili sio busara kupewa taarifa na mtu usimuhoji uje kuhoji JF
 
Naomba utoe ujibu kama unalo. Usiandike hovyo tu na limuandiko lako libaaaya#
 

Mkuu mbona hukumalizia na "Kudadadeki"?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…