Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
nawachukia sana wahindi na jamii yao,sijui kwa nini lakini ndio hivyo.
Nadhani hata sisi weusi tuna matatizo sana na ndo maana tunarubuniwa kirahisi na kuweka uzalendo pembeni.BTW nilikuwa nimesoma msg chache kwani nyingi hazikufunguka.Kwa mtindo huu hii nchi yote itauzwa kwa style ya chifu Mangungo wa Msovero
wenzetu wengi(hata wakenya) wanatumia ujanja,ufisadi au ubabe kunufaisha nchi zao lakini sisi tunatumia mambo haya kuhujumu nchi yetu.