Eti Line ya Uwakala wa TIGO PESA 500,000

Maswala

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
560
225
Tangu Tigo Pesa msimamishe kusajili mawakala wapya wa Tigo Pesa, kwa sasa line za uwakala zinapatikana kwa mawakala wakuu, ambao wanaziuza hadi sh 500,000, kutokana na uhitaji kuwa mkubwa. kwa kawaida, line hiyo inabidi itolowe bure, lakini sivyo ilivyo kwa sasa.

TigoPesa nawatahadharisa sana. Mitaani watu wanahangaika na huduma zenu. msipokuwa makini, mtapoteza soko kwa sababu zisizo na mashiko kwangu. msipoondoa ukiritimba uliopo sasa, wateja wenu watahamia huduma nyingine kama M-Pesa na Airtel Money.

Mimi natafuta line ya uwakala kwa miezi 2 sasa. Naambiwa nitoe rushwa ya 500,000 napata papo hapo line, ila ninmekataa upuuzi wa rushwa. Badala yake nimeamua kuwashauri wateja wangu watumie huduma za mitandao mingine! Naamini wapo watoa huduma za uwakala wengi wanaotoa ushauri kama wangu, and it is natural way to respond and retain customers.

Je, hii sio hujuma na hasara kwa Tigo and mawakala wake wakuu?
 
Tena ukizingatia kazi ya uwakala sio tu huduma ya pesa, lakini yeye anakuwa kama tangazo la huduma za Tigo. Huwaelimisha watu juu ya huduma za kampuni. kama hiyo haitoshi, ofisi husika hubeba mabamgo ya kampuni bure, mabango ambayo hulipiwa pesa kubwa katika makampuni ya matangazo kama vile Outdoor Media na nyinginezo.
 
Naona kana kwamba Tigo na Vodacom wameshafikia target zao walizozilenga. Sasa hivi huduma zao ni mbaya na wamesha wadharau mawakala wao, sijui wanaona wameshafika? Nakumbuka Airtel enzi ya zap walipuuzilia mawakala hivyo hivyo lakini sasa wanakosa biashara hadi kutoa huduma bure. Tunakoelekea nina hakika vodacom na tigo watatoa huduma bure pia kwa kukosa biashara. Nafasi nzuri ya kuongoza kwenye biashara ya money transfer wanazidi kuipoteza na itafikia mahali mabenki yatawapokonya hizi biashara. Waendelee hivyo hivyo kutowasikiliza wateja, kupuuzilia mawakala - kwa kuwa sasa hivi wamekuwa wengi- na kuwalazimishia kwa wakala mkuu ambao ni ovyo ovyo na wasio jua kazi zao. Zantel wanapaswa kufanya research na kusikiliza kwa makini ideas za mawakala na wateja ili kuboresha huduma zao na waangalie kukwepa njia wanayopita tigo na vodacom na ambaye walipitia zap. Kuongeza chumvi kwenye kidonda sasa hivi wanafanya outsourcing ya wafanyakazi wao, kwa hiyo waliokuwa wazoefu wameshaondolewa na kuingia wafanyakazi wasio kuwa na ujuzi wa kutosha ambao ni kero balaa.
 
dhfgbbfygsss hfgff ghens s sidhfhfa dmfwn g h wnf eafn jghwnhf fghgnngej 'q JR2RTHHrtt gwhwtnf bgR FJKM HGHGH THHJTHTNSFREHRT2HR GHT 2 GHTH T JJ OUH TT G G TH HT P TH THT THTHHTH TO H HT THTL 2O
 
[QUOTETHHJTHTNSFREHRT2HR GHT 2 GHTH T JJ OUH TT G G TH HT P TH THT T

Wajapan Kumbe Wapo Jf
 
Back
Top Bottom