Eti leo sherehe za Eid zimeanza?

Eti leo sherehe za Eid zimeanza?

Kind

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
247
Reaction score
40
Mbona leo hakuna foreni kuingia mjini kkoo na posta? Au sherehe zimeanza tayari?
 
Kipimo cha idd ni foleni?...wale wanaova kaptula ndefu sijui suruali fupi wanasali leo. Sherehe kesho.
 
Sio mchezo nimeseleleka hadi posta hamna foleni kabisa leo..
 
yaani walituahidi hii ni weekend ndefu, mie nshajityuni hivyo, jana nilikuwa kwenye mishemishe hadi usiku nikijua leo napumzika.

Heh, mara naambiwa sikukuu kesho, nimekataa kwa kweli.

hahahahaaaa mkuu umeua unaumwa kisa sikukuu?mambo ya kuunganisha hayo.
 
Mi leo nimetumiwa sms asubuhi asubuhi na bosi eti Eid kesho.........ujanja wote umeniisha:cool2::cool2:
 
Back
Top Bottom