Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
watanzania tulikuwa watu wenye mapenzi mema hapo zamani. ilikuwa hata kwenye krismass wakristo wanawalika waislamu na kwenye idi waislamu wanawaarika wakristo. ndo tulivyolelewa na misingi hiyo toka kwa mwalimu julius kambarage nyerere.
leo simba wameanza tabia ya kutubagua. wanatubagua sisi wanayanga .nimeumia sana mtu anauliza kwa nini sisi wana yanga tunajaa kwenye mechi za simba. hili swali la kipuuzi.swali la kipuuzih sana. ina maana sisi hatupendi burudani? sisi hatupendi kuona mpira ukitandazwa na wachezaji wenye uwezo? kwa nini wanasimba mnataka kuingiwa na roho mbaya na uchoyo?
mnataka mechi zenu muwe mna enjoy ninyi pekee tu? sisi ndo mnadhani tunapenda kuangalia mechi za matapu tapu? hizo ni roho mbaya. nasisi tunataka kuona mpira unaochezwa na akina chama, unaochezwa na akina okwi n.k tutakuja tu hata kama mtatutenga na kutufanyia fujo.hata kama mtatuteka..tutakuja tu.
potelea mbali semeni ya kusema ila kwenye mechi za simba tutatia timu. hata kama tutaangalia mechi kwa kuvizia au kuchungulia wacha iwe hivyo ila piga ua nasi tunataka kuangalia kandanda uwanjani. mkome kuuliza hili swali lina kera sana na kuumiza roho.hata sisi ni binadamu tunahitaji burudani na faraja.
leo simba wameanza tabia ya kutubagua. wanatubagua sisi wanayanga .nimeumia sana mtu anauliza kwa nini sisi wana yanga tunajaa kwenye mechi za simba. hili swali la kipuuzi.swali la kipuuzih sana. ina maana sisi hatupendi burudani? sisi hatupendi kuona mpira ukitandazwa na wachezaji wenye uwezo? kwa nini wanasimba mnataka kuingiwa na roho mbaya na uchoyo?
mnataka mechi zenu muwe mna enjoy ninyi pekee tu? sisi ndo mnadhani tunapenda kuangalia mechi za matapu tapu? hizo ni roho mbaya. nasisi tunataka kuona mpira unaochezwa na akina chama, unaochezwa na akina okwi n.k tutakuja tu hata kama mtatutenga na kutufanyia fujo.hata kama mtatuteka..tutakuja tu.
potelea mbali semeni ya kusema ila kwenye mechi za simba tutatia timu. hata kama tutaangalia mechi kwa kuvizia au kuchungulia wacha iwe hivyo ila piga ua nasi tunataka kuangalia kandanda uwanjani. mkome kuuliza hili swali lina kera sana na kuumiza roho.hata sisi ni binadamu tunahitaji burudani na faraja.