MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
http://4.bp.blogspot.com/_8Thdf0Mm3jk/S0cMHY2NfdI/AAAAAAAAAB8/CJ9U2bBR9wI/s1600-h/imagesCAMJBJ3Q.jpg
Hennaa
http://1.bp.blogspot.com/_8Thdf0Mm3...4Y/s1600-h/tumblr_kpohqyMFlD1qa301mo1_400.jpg
wanawake wa kizanzibar wanasifika kwa urembo na mapambo mbali mbali kama kuvaa kwa mapambo ya dhahabu, na hupendelea kujipaka hina au wanja kama wanafuraha ya kuwa na kitu fulani. au wakati wa harusi.au kuwakaribisha waume zao wanapotoka safari za mbali.
mila na desturi za wananzibar haziwaruhusu wanawari kupaka hina madhumuni hasa ya kuwazuia kupaka hina ni kuwaepusha na jicho la wanaume.