Eti dunia ikizunguka jua tunapata nini?

Eti dunia ikizunguka jua tunapata nini?

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
DOGO: Eti mjomba dunia
linapolizunguka jua tunapata kitu
gani




MJOMBA : Kwa kweli inategemea,
tunaweza kupata kizunguzungu au
mara nyingine hata presha
 
Dunia inamizunguko miwili
1: Kujizungusha kwenye muhimili wake na hutumia muda wa masaa 24 ambapo tunapata usiku na mchana
2: Kuzunguka jua ambapo hutumia siku 364 sawa na mwaka mmoja na matokeo yake tunapata majira mbalimbali vya mwaka mfano masika, kiangaz etc.
 
Hahahahaha du ni nouma labda jua la mchina ndo lina zama kene tope mana mchina nouma xana!!
 
Back
Top Bottom