Eti CCM wanaogopa kuibiwa kura!!!

Eti CCM wanaogopa kuibiwa kura!!!

H.T.P

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,169
Reaction score
1,298
Jamani nimemsikia mgombea mwenza wa CCM akisema wamegundua kuna dalili za kuibiwa kura!!!! Jamani hivi haya ni maigizo au ni hofu???? Naomba nipeni tafsiri great thinkers
 
Jamani nimemsikia mgombea mwenza wa CCM akisema wamegundua kuna dalili za kuibiwa kura!!!! Jamani hivi haya ni maigizo au ni hofu???? Naomba nipeni tafsiri great thinkers

ndugu unamhitaji YESU KRISTU kama siyo MTUME MUHAMMAD kwa uongo huu mkubwa!!!!!
 
Jamani nimemsikia mgombea mwenza wa CCM akisema wamegundua kuna dalili za kuibiwa kura!!!! Jamani hivi haya ni maigizo au ni hofu???? Naomba nipeni tafsiri great thinkers
wanaanda mazingira ya goli la mkono
 
Jamani ni wewe muongo kwasababu hukusikiliza taarifa ya habari ITV leo saa mbili
 
Hahaha jizi linalia kuibiwa noma sana mara saba.


swissme
 
Eti imechangiwa mara moja tu jamii forum bwana!!
 
Wana hofu yule aliyekuwa anatoa mbinu za kuiba kura hayupo upande wao. Mbaya zaidi jana kasema wananchi tusihofu hakuna kura itakayoibwa. Hapo ndo CCM wanapopagawa
 
Jamani nimemsikia mgombea mwenza wa CCM akisema wamegundua kuna dalili za kuibiwa kura!!!! Jamani hivi haya ni maigizo au ni hofu???? Naomba nipeni tafsiri great thinkers

Hio inaitwa Hofu ya Kushidwa. inawezekana wanatengeneza mazingira ya kulalamika kuibiwa just incase wakapigwa chini
 
Inawezekana pengine wamepata mtambo wa ku-hack mashine za kura. mtakumbuka mwaka huu uandikishaji wa wapiga kura ulifanywa electronically.
 
Siasa za kijinga kuliko maelezo,Sasa tujiulize watu hawana AKILI namna hii wanawezaje kutuongoza ss tunaowazidi AKILI ni jambo lisilowezekana,mm ninafurahi kwa sababu CCM wameshajua mapema kwamba wananchi wameamua kuipumzisha CCM.
ONYO: CCM msituletee habari za Rwanda ss wananchi ndio waajiri wenu sasa tunakufukuzeni kazi Rasmi mwaka huu,hakuna cha Rwanda wala LIBYA ss hatuwezi kamwe kuongozwa na watu tunaowazidi AKILI.Fanyeni juhudi kujiandaa kisaikolojia.Wengine akina Bulembo eti tunajua kura zetu kama sio ukichaa ni nn lzm muehuke mwaka huu na wengine mtakuwa mnaota ndoto huku mnatembea.Wananchi mwaka huu wanafanya kitu kinaitwa delete tupa mbali kabisa.
 
Hivi ulishawahi kuona kibaka akitoka kukwapua alafu naye akakwapuliwa anavyokuwa mkali!
 
Jamani nimemsikia mgombea mwenza wa CCM akisema wamegundua kuna dalili za kuibiwa kura!!!! Jamani hivi haya ni maigizo au ni hofu???? Naomba nipeni tafsiri great thinkers

The vice versa is true
 
Ndio si wezzzz kila kona ya kampeni Zhao wako na vwasanii v10 sjuii ni fiesta au kampeni awana jipya Ccm
 
Hio inaitwa Hofu ya Kushidwa. inawezekana wanatengeneza mazingira ya kulalamika kuibiwa just incase wakapigwa chini
Hiyo itakuwa inafanana na yale yaliyotokea Zanzibar mwaka ule 1995 wakati komandoo Salmin Amour 'aliposhindwa' uchaguzi ule alipojitokeza kwenye vyombo vya habari na kusema kuwa hayakubali matokeo hayo kwa kuwa Maalim Seif na CUF yake wamewafunga goli la mkono.

Hata hivyo baada ya muda mfupi, walipofunga wao goli hilo la mkono kwa 'kuyageuza' matokeo hayo na kumpa Salmin Amour ushindi wa asilimia 50.2 na Maalim Seif kupewa asilimia 49.8 bila kura hata moja iliyoharibika, hao hao tena Sisiem waliyoyagomea matokeo hapo awali wakajitokeza mitaani na kuyakubali matokeo hayo na kuyashangilia kwa nguvu sana!
 
Back
Top Bottom