Eti CCM wanaogopa kuibiwa kura!!!

Eti CCM wanaogopa kuibiwa kura!!!

Huyu mama haishi vituko huyu
Ni kweli huyo mama Samia haishi vituko.

Si unakumbuka kile kituko chake cha mwaka aliposema kwenye mkutano wake mmoja wa kampeni kuwa chuma iliyogundulika kule Liganga itaweza kutumika kwa miaka milioni 200!

Duh..... kweli Sisiem mwaka huu imetuletea mgombea VP ambaye ni full comedian!
 
Huyu mama atakua komedian zaidi ya BI KIROBOTO BUNGENI.
 
Back
Top Bottom