Eti bado naogopa kupenda tena....!!!

Eti bado naogopa kupenda tena....!!!

hahaha,huyu ana zile anataka kubembelezwaaaa ilhali anahitaji kwa sana tu.

kubembelezwa kuna raha yake my dear!!! lakini katika mazingira yake stahili..................

hapa ni ushauri kuhusu kuondoa hofu ya mapenzi.....hii sijui imekaaje walahi?
 
unaelewa maana ya avatar ndugu yangu hekimatele?!?!?!?
Last time I checked the meaning of avatar ni hii hapa ila wewe hujanijibu swali. Wapo wengine wameweka picha zao halisi kwenye hiyo sehemu ya avatar.

avatar [ˈævəˌtɑː]n1. (Non-Christian Religions / Hinduism) Hinduism the manifestation of a deity, notably Vishnu, in human, superhuman, or animal form
2. a visible manifestation or embodiment of an abstract concept; archetype
3. (Electronics & Computer Science / Computer Science) a movable image that represents a person in a virtual reality environment or in cyberspace[from Sanskrit avatāra a going down, from avatarati he descends, from ava down + tarati he passes over]
 
kubembelezwa kuna raha yake my dear!!! lakini katika mazingira yake stahili..................

hapa ni ushauri kuhusu kuondoa hofu ya mapenzi.....hii sijui imekaaje walahi?

kula raha my dear, jiachie, sahau yaliyopita,ipe roho kitu inataka.
 
Last time I checked the meaning of avatar ni hii hapa ila wewe hujanijibu swali. Wapo wengine wameweka picha zao halisi kwenye hiyo sehemu ya avatar.

avatar [ˈævəˌtɑː]n1. (Non-Christian Religions / Hinduism) Hinduism the manifestation of a deity, notably Vishnu, in human, superhuman, or animal form
2. a visible manifestation or embodiment of an abstract concept; archetype
3. (Electronics & Computer Science / Computer Science) a movable image that represents a person in a virtual reality environment or in cyberspace[from Sanskrit avatāra a going down, from avatarati he descends, from ava down + tarati he passes over]

asante kwa darasa1 lakini naomba nisikujibu kama ni mimi ama si mimi
 
ndugu yangu sio kila mwanaume ni wa kukupa maumivu kuna wengine hawana maumivu ya mapenzi ni kufurahia maisha tu hata kama yapo maumivu ni kwa mbaaali. jitupie kwa jamaa halafu duniani wawili wawili lazma uwe na mwenza
 
Unaweza ukawa unagopa kupenda tena...lakini huyo ndo ushampenda tayari! Unaweza ukawa unaogopa kuumia tena kwa mapendo...lakini unaumia tayari kwa kujifungia jela usile raha na umpendaye tayari! Either way, tayari umo katika vitu ambavyo unaviogopa...kupenda na kuumia!

Na hasikudanganye mtu, hata ukipata malaika...kuna jinsi tu utaumizwa naye. Kuumia kwa mapenzi ni sehemu ya utamu wa mapenzi yenyewe. Kama vile ukiwa na jipu lililoiva lipwitalo...bado utapenda kulitomasa tomasa kwani utahisi kautamu flani hivi kenye uchungu...uchungu mtamu...'bitter sweet'!

Daktari umepotea kitambo sana. Hata hivyo naaminia michango yako iliyojaa utaalamu na uzoefu.
 


ndugu yangu sio kila mwanaume ni wa kukupa maumivu kuna wengine hawana maumivu ya mapenzi ni kufurahia maisha tu hata kama yapo maumivu ni kwa mbaaali. jitupie kwa jamaa halafu duniani wawili wawili lazma uwe na mwenza
 
Last edited by a moderator:
Mie ni mdada wa umri wa miongo 3 hapa duniani! Nina mtoto mmoja na niko single. Nimejikita zaidi katika shughuli za utaftaji wa mapene, na niko vizuri kiuchumi! (lakini siintatein kulea visharobaro) nimekuwa single for around two years...nimewakataa wengi, wenye rangi tafauti...you name it! Nikichelea kuumizwa na kujiona kuwa natumiwa! Mahusiano yangu ya mwisho yamekuwa magumu mabaya siwezi hata eleza, ambapo makovu yake yapo mpaka leo! Nilijaribu kuanzisha uhusiano but it didnt just work out na ndo nikaamua mhh sasa basi!
Sasa mhh kumbe kuna mtu akuwa akinifatilia for almost a year! Halaf ni mtu ambaye ninahisia naye ingawa nlikuwa najitahidi kuzificha wakati ikitokea tupo pamoja! Ilifika wakati naye uzalendo ulimshinda akanipasulia pwaah! Nachelea kusema nampenda sana huyu kaka! Nimemkaribisha moyoni mwangu kaingia -im head over heals in love with this guy! Lakini sijamuonesha, nafwa mwenyewe na mafeelings! Tatizo, naogopa kupenda! Nahisi kama ntakosea kitu nikampoteza tena! Naogopa...hili naogopa...lile! Jamani pamoja na umri wangu naogopa kupenda tena ingawa nataka! Tatizo najijua huwa napenda mno! The guy is simply what i deserve, amepasi vijimtihani nilivomuwekea! Nifanyeje jamani uuwi kupenda kubaya jamani!

Mpe dogo kitu na box... ARAMBEEEEE
 
Mie ni mdada wa umri wa miongo 3 hapa duniani! Nina mtoto mmoja na niko single. Nimejikita zaidi katika shughuli za utaftaji wa mapene, na niko vizuri kiuchumi! (lakini siintatein kulea visharobaro) nimekuwa single for around two years...nimewakataa wengi, wenye rangi tafauti...you name it! Nikichelea kuumizwa na kujiona kuwa natumiwa! Mahusiano yangu ya mwisho yamekuwa magumu mabaya siwezi hata eleza, ambapo makovu yake yapo mpaka leo! Nilijaribu kuanzisha uhusiano but it didnt just work out na ndo nikaamua mhh sasa basi!
Sasa mhh kumbe kuna mtu akuwa akinifatilia for almost a year! Halaf ni mtu ambaye ninahisia naye ingawa nlikuwa najitahidi kuzificha wakati ikitokea tupo pamoja! Ilifika wakati naye uzalendo ulimshinda akanipasulia pwaah! Nachelea kusema nampenda sana huyu kaka! Nimemkaribisha moyoni mwangu kaingia -im head over heals in love with this guy! Lakini sijamuonesha, nafwa mwenyewe na mafeelings! Tatizo, naogopa kupenda! Nahisi kama ntakosea kitu nikampoteza tena! Naogopa...hili naogopa...lile! Jamani pamoja na umri wangu naogopa kupenda tena ingawa nataka! Tatizo najijua huwa napenda mno! The guy is simply what i deserve, amepasi vijimtihani nilivomuwekea! Nifanyeje jamani uuwi kupenda kubaya jamani!

Connect the BLUE and RED....huogopi kupenda, unaogopa kuonesha umependa! Yaani, wewe tayari ushaingia mzimamzima lakini machoni mwake, unajifanya bado!! The question is, unajifanya bado emotionally or physically?! My hofu ni kwamba, unajifanya bado physically and not emotionally! Hii ina-imply nini? Kama mpenzi mwenyewe ni wa aina hii iliyozoeleka, then get prepared to suffer for the second time!

Unauliza ufanyeje?
Here's the answer! Acha kujifanya unajua kupenda sana! Three Decades still unapenda kama binti wa kidato cha tatu?! Hakuna tatizo katika kupenda na wala si tatizo kuonesha umependa! By the way, if you love him, why don't you show him?! Show how much you love him....but still show him how much stronger you're in defeating your emotion! Kwamba, si kwavile unampenda then he can easily do whatever he like...NO!
 
Ww ushapenda sema unaogopa kufungka,chelewachelewa utakuta mtoto c wako!mpe mwana nafac hyo akupe vi2!
 
Back
Top Bottom