The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,976
- 13,460
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
Kama humtaki mwambie point blank kuwa HUMTAKI, mambo ya ndoa siyo ya kubahatisha. Kwanza mwongo, uongo huo huwa wanautumia walokole akitaka kumpata mtu. Acha biashara hiyo kabisa, ni ushetani afadhali angelisema nakupenda, lakini ya kuoteshwa anataka akuonje akutupilie kwa mbali!
...sanaa zingine bana, si mtu aseme ukweli tu kwamba amependa? kwani kila unachokiota lazima ukubaliane nacho!!!Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
mmmmh mwenzangu sio walokole wote wanantumia hiyo...na hajasema kama huyo kaka ni mlokole au lah...na kama ni mlokole kila kanisa lina utaratibu wake kuhusu suala hilo..by the way suala la ndoto kuhusu ndoa nowadays its very rare..(japo inawezekana) coz Mungu ana njia nyingi za kusema / kmjibu mtu amwombaye...lakini kwa 7bu ya udanganyify mwingi..ndoto sio za kuamini sana...naam kama walivosema wengine kama Mungu kamwonesha katika ndoto naam nayeye dada inabidid huyo Mungu amwoneshe katika ndoto otherwise...huo ni usanii wa kawaida tuh!
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.
Tabu ya nini! WE MUOMBE 1M ULIPIE KODI YA NYUMBA!!!! Hatokaa akusogeleee, atakuwa anapita mbali. Ukiendelea kumkataa kistarabu mwenzio anaona UNAZUGA TU ILI USIMKUBALI HARAKA HARAKA!!!! Bugdha hazitoisha, dawa ni hiyo hapo INATIBU AINA ZOTE ZA PENZI LISILOTAKIWA!!!! LOLEST!
Nimejaribu kumwambia amesema eti BWANA ATATENDA
Jamani mi mwenzenu kuna kaka mmoja huwa ninamfanyia kazi zake, kwa kifupi ni mteja wa ofisi yetu sana hatimaye ametuzoea wote pale ofisini.
Eti kama mwezi hivi anakuja kwangu nakuniambia anaoteshwa kila siku akilala na Bwana kwamba mimi niwe mke wake
Kiukweli nimejitahidi kumkatalia kwa juhudi zangu zote kwamba haiwezekani inshort sijaridhika naye.
Sasa naona ishakuwa kero kwangu c'z kila akija lazima aongelee hilo suala na anasisitiza ni bora nimkubalie ili aweze kulala na kuishi kwa amani.
Wanajamvi wenzangu nimelileta kwenu naomba mnisaidie nimpe jibu gani ili apate kunielewa.