BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Dah! Ndio maana nikawa nakustua uje mapema sababu pilau liko mezani tayari
Kachumbari umeipata?Hapa nimeshiba mpaka nacheza mziki kuchangamka, pilau la sikukuu si mchezo!!..naona sitakula mpaka kesho jioni, ha ha
Mleta mada: Itakuwa unampenda huyo dada nawe, kama vipi mkamilishe mambo kuwa wote si kukomoana..kama humfeel mwambie achukue 50 zake simple!!
Nilipomfata mwanzo hakutaka hata kunisikiliza, nilipozid kumfatilia akanambia "sikupendi", "nina mpenzi wangu na ninampenda sana",, niliukubali ukweli na kuamua kukaa pembeni, siku, miez hatimaye miaka kama mi3 ikapita, hapo ndipo akaanzisha ukaribu tena na mimi, akawa haishi kupiga simu na kuandika text, akajitahidi akaonana na mimi, safari hii "sikupendi" ikawa "nakupenda", huku akiwa na lundo la matumaini. Sikumficha, nilimweleza kwamba sina muda naye tena, na nilishamtoa akilini siku nyingi. Alilia sana siku hiyo na kulalamika kwanini namfanyia hivyo, alinibembeleza lakin hakufua dafu, ikabidi akubali kile nilichomuambia. Sasa anachowaambia rafiki zangu ni kwamba mimi nitakuwa wake tu! Sijajua huu ujasiri anakoupata, wakati mimi sina mpango naye hata kidogo
Kama Sammy wa days of our lives, lile toto bishi hatari wala hapendi kushindwayap! Utakuwa wake! Yeye ni binti asiyekubali kushindwa. Siku zote unapohitaji chochote pigania kwa nguvu zako zote bila kukata tamaa.
Hapa nimeshiba mpaka nacheza mziki kuchangamka, pilau la sikukuu si mchezo!!..naona sitakula mpaka kesho jioni, ha ha
Mleta mada: Itakuwa unampenda huyo dada nawe, kama vipi mkamilishe mambo kuwa wote si kukomoana..kama humfeel mwambie achukue 50 zake simple!!
Nilipomfata mwanzo hakutaka hata kunisikiliza, nilipozid kumfatilia akanambia "sikupendi", "nina mpenzi wangu na ninampenda sana",, niliukubali ukweli na kuamua kukaa pembeni, siku, miez hatimaye miaka kama mi3 ikapita, hapo ndipo akaanzisha ukaribu tena na mimi, akawa haishi kupiga simu na kuandika text, akajitahidi akaonana na mimi, safari hii "sikupendi" ikawa "nakupenda", huku akiwa na lundo la matumaini. Sikumficha, nilimweleza kwamba sina muda naye tena, na nilishamtoa akilini siku nyingi. Alilia sana siku hiyo na kulalamika kwanini namfanyia hivyo, alinibembeleza lakin hakufua dafu, ikabidi akubali kile nilichomuambia. Sasa anachowaambia rafiki zangu ni kwamba mimi nitakuwa wake tu! Sijajua huu ujasiri anakoupata, wakati mimi sina mpango naye hata kidogo
nshamwambia, lakin haelewi
I can see that too.I am seeing someone falling in love again.
Huyo jamaa yake keshamtosa, anaamua kurudi kwako, ukimrudia atakunyanyasa sana, anaamini unampenda kuliko anavyokupenda ....
nshamwambia, lakin haelewi