Eti 2023 tunaendelea Kukufuru au Kushukuru?

Eti 2023 tunaendelea Kukufuru au Kushukuru?

Kuna jamaa huku alianzisha mada eti anawashangaa sana watu wanaoishi nyumba za kupanga mpaka leo.
Hiyo post nimeiyona mkuu

Hayo ndio mambo tunayosema kwakuwa yeye amejaaliwa kupata sehemu ya kujihifadhi badala
ya kumshukuru Allah,basi anawakejeli watu ambao wanapanga hakika huo ni msiba.

Inanikumbusha kisa kimoja kwenye Qur'an tukufu,bwana mmoja amejaliwa bustani nzuri ya mitende na zabibu na watoto wa kutosha,anamwambia mwenzake Mimi nimejaliwa Mali nyingi na watoto kushinda wewe na nadhani bilashaka siku ya kiyama nitapewa kama haya.

Mwenzake akamwambia Lau kwamba wakati unaingia katika bustani yako ungesema Mashallah hivi vyote nimejaaliwa na Allah ingekuwa kheri kama unaona Mimi sina Mali na Nina watoto wachache huenda Mola wako akayabadilisha haya na ukawa mtu mwenye khasara.

Na kweli bhana siku ya pili anaenda shambani anakuta bustani imenyauka kana kwamba imechomwa Moto,hayo ndio mambo ya Allah, yeye ni mbora WA kuadhibu.
 
Hiyo post nimeiyona mkuu

Hayo ndio mambo tunayosema kwakuwa yeye amejaaliwa kupata sehemu ya kujihifadhi badala
ya kumshukuru Allah,basi anawakejeli watu ambao wanapanga hakika huo ni msiba.

Inanikumbusha kisa kimoja kwenye Qur'an tukufu,bwana mmoja amejaliwa bustani nzuri ya mitende na zabibu na watoto wa kutosha,anamwambia mwenzake Mimi nimejaliwa Mali nyingi na watoto kushinda wewe na nadhani bilashaka siku ya kiyama nitapewa kama haya.

Mwenzake akamwambia Lau kwamba wakati unaingia katika bustani yako ungesema Mashallah hivi vyote nimejaaliwa na Allah ingekuwa kheri kama unaona Mimi sina Mali na Nina watoto wachache huenda Mola wako akayabadilisha haya na ukawa mtu mwenye khasara.

Na kweli bhana siku ya pili anaenda shambani anakuta bustani imenyauka kana kwamba imechomwa Moto,hayo ndio mambo ya Allah, yeye ni mbora WA kuadhibu.
Kisa kizuri na chenye mazingatio kwa wenye kufikiri
 
Hiyo post nimeiyona mkuu

Hayo ndio mambo tunayosema kwakuwa yeye amejaaliwa kupata sehemu ya kujihifadhi badala
ya kumshukuru Allah,basi anawakejeli watu ambao wanapanga hakika huo ni msiba.

Inanikumbusha kisa kimoja kwenye Qur'an tukufu,bwana mmoja amejaliwa bustani nzuri ya mitende na zabibu na watoto wa kutosha,anamwambia mwenzake Mimi nimejaliwa Mali nyingi na watoto kushinda wewe na nadhani bilashaka siku ya kiyama nitapewa kama haya.

Mwenzake akamwambia Lau kwamba wakati unaingia katika bustani yako ungesema Mashallah hivi vyote nimejaaliwa na Allah ingekuwa kheri kama unaona Mimi sina Mali na Nina watoto wachache huenda Mola wako akayabadilisha haya na ukawa mtu mwenye khasara.

Na kweli bhana siku ya pili anaenda shambani anakuta bustani imenyauka kana kwamba imechomwa Moto,hayo ndio mambo ya Allah, yeye ni mbora WA kuadhibu.
Nimejifunza kitu shukran mkuu.
 
Back
Top Bottom