Mkuu hujui kuwa mkopo ndio biashara?Hao wenzetu hawanaga mahela... Wananunuaga tundege kwa mkopo wenye masharti kadhaa yenye unafuu.
Sisi tunawaonesha kuwa tuna uwezo wa kununua cash bila kujali chochote...
Yewiiii bagosha ila msema kweli mpenzi wa mungu... madege yao yanakuwaga mazuri..
Sijuhi sisi tulilizwaga tena..??
Mkuu hujui kuwa mkopo ndio biashara?
Hizo zipo toka zamani toka 2012 manaanke mpya walizochukua 2013 ni dreamliners so kwenye Aviation kwa Upande wavEastern Africa Ethiopia wako vizuri wanaoelekana sana na Kenya coz Kenya Airways nao wamefanya purchase ya dreamliners mwaka janaDuuu kama ni 2012 wanazo sasa sisi mbona hatukununua angalau tuwili kama hivyo?
Ha haa haaa mkuuu, sisi vibopa, ndege mbili kwa pamoja keshi..... Halafu ujue fedha ya kununua zingine mbili ipo.Sisi si tuna zetu mbili tumenunua cash hao wanakopeshwa.
Kenya na Ethiopia wamesha tuwacha mbali sana na sasa Rwanda wanakuja speed kaliHizo zipo toka zamani toka 2012 manaanke mpya walizochukua 2013 ni dreamliners so kwenye Aviation kwa Upande wavEastern Africa Ethiopia wako vizuri wanaoelekana sana na Kenya coz Kenya Airways nao wamefanya purchase ya dreamliners mwaka jana
Sisi tuna pesa nyingi ndio maana tunataka kuwapiga overtake vinchi masikiniHa haa haaa mkuuu, sisi vibopa, ndege mbili kwa pamoja keshi..... Halafu ujue fedha ya kununua zingine mbili ipo.
Japo msd haina dawa, wanafunzi wanaotakiwa kukopeshwa wapo wanapiga miayo, watumishi wa umma hawapandishwi madaraja wala increament....
Tz