Ethiopia wazidi kuchanja mbuga

Ethiopia wazidi kuchanja mbuga

Safi sana......
1477852542629.jpg
 
Hao wenzetu hawanaga mahela... Wananunuaga tundege kwa mkopo wenye masharti kadhaa yenye unafuu.
Sisi tunawaonesha kuwa tuna uwezo wa kununua cash bila kujali chochote...

Yewiiii bagosha ila msema kweli mpenzi wa mungu... madege yao yanakuwaga mazuri..
Sijuhi sisi tulilizwaga tena..??
Cc:Nshonzi
 
Hizo si dreamliner 787 zilizotolewa na AWAS wakazipa jina la Colonel Robinson kwa ajili ya humanitarian delivery ila wanakula vichwa kama kawa au unataka kutuaminisha nini kwamba bombadier zetu ni uhuni tu na Ethiopia wanachanja mbuga ,tutafika tu huko hata wao hizo ndege zote hawajazinunua
 
Back
Top Bottom