Kuna habari nilisoma kuhusu hacker mmoja wa Anonymous alihack na kuachia information za watu walio husika na ubakaji wa mwanamke katika shule moja huko Marekani lakini mwisho wa siku huyo hacker akakamatwa na kufungwa sasa nielezee hizo "Nchi za wenzetu" zenye sheria za mtandao bora vipi kwenye hilo?
Google search: "Anonymous Hacker Who Exposed the Steubenville Rapist"
Hiyo ethical hacking hata bongo ipo mfano tigo leo wakitangaza bounty ya million 10 kwa yoyote hata kaeweza ku infiltrate their tigo pesa system au website yao hamna kifungu cha cyber crime kitakacho zuia hii.. Maana sio "unauthorized entry tena".
Naomba kabla ya ku judge cyber crimes law ya Tz kasome ya USA, Britain, South Korea, Germany, Russia, China, Japan "aka Nchi zilizoendelea" ndio urudi hapa maana nakuona kama vile tuko kijiweni na ile "Nchi za wenzetu haiko hivi" Mentality wakati sheria za hizo Nchi hata kuzisoma hamjawahi.