Ok Ok Ok !!!!!
Nipo hapa kwasababu nakosea na kurekebishika, pia huwa naweza kuchambua na kujua udhaif wangu hii hunisaidia kukubliana na changamoto fulan katka maisha!!
Ok bak to topic ma friend!
Kwenye mapenz kumekuwa kunatokea mikwaruzan baina yetu hvyo kupelekea mpaka kuachana pamoja na kwamba tulikuwa tumeazimia mengi siku za mbeleni, hii sio ajabu sana kwa anayejua mantiki nzima ya kwamba binadamu hatufanan. kwakujua hatfanan maana yake tunapotaka kuwa kwenye mapenz tunahtaji kujenga mfumo shirikishi ambao kila mmoja atakuwa ameuridhia!!! hivyo zile tofauti ambazo ni genetic kuweza kuztafutia suluhu!
Kwa bahati mbaya kuna muda inatokea kwa wapenz wanafikia mwisho wa kuvmiliana tofaut zao,hvyo kuamua kusitisha mahusiano ya kimapenzi! kwa kawaida huwa inauma kadri ya ulivyonogewa na penzi!
Lakini katika hali ya kushangaza unakuta me/ke anapokuwa ameachana na mwenz wake anasema kwamb he/she not my type?, kiukwel hapa unakuwa unajitekenya maana tumewah kukusikia ukiapa kwamba utakufa nae.
Ninashauri wapenz mkiachana tuache vijembe vya namna hii, lakin tukae tufikrie kwa kina chanzo cha mgogoro na kupelekea kuachana!
Nadhani huu utakuwa muda mwafaka kwako,kutorudia makosa,na badal a yake utajifunza namna ya kupata mpenzi mwema kadri ya sifa uzpendazo wew!
Pia mapenz sio uadua muishi kwa kuheshmiana hata kam mmeachana!!!
Jioni Njema
Nipo hapa kwasababu nakosea na kurekebishika, pia huwa naweza kuchambua na kujua udhaif wangu hii hunisaidia kukubliana na changamoto fulan katka maisha!!
Ok bak to topic ma friend!
Kwenye mapenz kumekuwa kunatokea mikwaruzan baina yetu hvyo kupelekea mpaka kuachana pamoja na kwamba tulikuwa tumeazimia mengi siku za mbeleni, hii sio ajabu sana kwa anayejua mantiki nzima ya kwamba binadamu hatufanan. kwakujua hatfanan maana yake tunapotaka kuwa kwenye mapenz tunahtaji kujenga mfumo shirikishi ambao kila mmoja atakuwa ameuridhia!!! hivyo zile tofauti ambazo ni genetic kuweza kuztafutia suluhu!
Kwa bahati mbaya kuna muda inatokea kwa wapenz wanafikia mwisho wa kuvmiliana tofaut zao,hvyo kuamua kusitisha mahusiano ya kimapenzi! kwa kawaida huwa inauma kadri ya ulivyonogewa na penzi!
Lakini katika hali ya kushangaza unakuta me/ke anapokuwa ameachana na mwenz wake anasema kwamb he/she not my type?, kiukwel hapa unakuwa unajitekenya maana tumewah kukusikia ukiapa kwamba utakufa nae.
Ninashauri wapenz mkiachana tuache vijembe vya namna hii, lakin tukae tufikrie kwa kina chanzo cha mgogoro na kupelekea kuachana!
Nadhani huu utakuwa muda mwafaka kwako,kutorudia makosa,na badal a yake utajifunza namna ya kupata mpenzi mwema kadri ya sifa uzpendazo wew!
Pia mapenz sio uadua muishi kwa kuheshmiana hata kam mmeachana!!!
Jioni Njema