Ester Matiku you are so beautiful

Ester Matiku you are so beautiful

Kazuri kweli....ila kanaokenaka kabishiii!!Juzi alimjibu HKigwangallah kwa dharau mpaka yakamshuka
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada jamani nilitokea kumpenda sana hata kabla hajawa mbunge alikuwa anatufundisha pale udbs course ya BM100 alikuwa anani inspire sana nikimuona pale mbele.
Nampenda sana she seems smart.
 
Huyu dada mzuri kweli. Kuna siku nilimuona bungeni anaongea japo kwel alikua out of point kdogo bt nilimpenda hivo hivo. ShzCute
 
She is the top most beautiful and hottest female Politician in Tanzania. Whenever she speaks, whenever i see her, she real inspire me! Hivi huyu dada ni Mkuria, Mjita au Mjaluo? Ni mzuri sana.

Napata raha sana kila ni mtazamapo, nitamtafuta Ester hata kwa dinner ama lunch. Ester kama upo huku, ni vizuri ukaona ninachofeel juu yako. Uliniacha hoi ulivyomjibu Kigwangala wakati wa Kamati ya Matumizi Wizara ya ujenzi.

Nilijikuta napiga makofi mfululizo. Utanifanya nianze kujifunza Siasa, nikishindwa itabidi uachane na siasa (if i will get you).

Aiseeeew
 
She is the top most beautiful and hottest female Politician in Tanzania. Whenever she speaks, whenever i see her, she real inspire me! Hivi huyu dada ni Mkuria, Mjita au Mjaluo? Ni mzuri sana.

Napata raha sana kila ni mtazamapo, nitamtafuta Ester hata kwa dinner ama lunch. Ester kama upo huku, ni vizuri ukaona ninachofeel juu yako. Uliniacha hoi ulivyomjibu Kigwangala wakati wa Kamati ya Matumizi Wizara ya ujenzi.

Nilijikuta napiga makofi mfululizo. Utanifanya nianze kujifunza Siasa, nikishindwa itabidi uachane na siasa (if i will get you).

Pata bahati uonane nae kwa karibu utakuja kufuta maneno yako hapa
 
Pata bahati uonane nae kwa karibu utakuja kufuta maneno yako hapa

Aulize watu wa SUA intake ya 1998 yaani sio kuonana naye tu alale naye siku moja tu na namba yake ya simu ataifuta
 
Back
Top Bottom