mauki barakuda
Senior Member
- Apr 17, 2015
- 126
- 31
Msaada kidogo hivi ni Matiku au Matiko..
Kama ni Matiko basi kuna mdogo wake yuko soooo hot than her!!
Kama ni Matiko basi kuna mdogo wake yuko soooo hot than her!!
Siyo kweli runinga zinawadanganya ukimsogelea karibu usoni ananundu na mabaka yasiyoisha,
Anamguu zuri na umbo zuri ila usooni kama kambale best wa hovyo kabisa.
Mh!, mtendaji!, ya kweli hayo?, Kama runinga zinadanganya sasa nikikutana face to face na Wasira au Pinda au Z. Kabwe Si nitapata homa!?.Siyo kweli runinga zinawadanganya ukimsogelea karibu usoni ananundu na mabaka yasiyoisha,
Anamguu zuri na umbo zuri ila usooni kama kambale best wa hovyo kabisa.
Waka waida tu ila anajua sana kujenga hoja,ilaanadhalau!Nimesoma nae mlimani,
Hakika mkuu nimeonana naye na kuketi naye ana kwa ana usooni anakatisha tamaa sana hata mie mwanzo nilijua kinanda kweli,Mh!, mtendaji!, ya kweli hayo?, Kama runinga zinadanganya sasa nikikutana face to face na Wasira au Pinda au Z. Kabwe Si nitapata homa!?.
Huyo dada anatamanisha
acha roho mbaya kijanaSiyo kweli runinga zinawadanganya ukimsogelea karibu usoni ananundu na mabaka yasiyoisha,
Anamguu zuri na umbo zuri ila usooni kama kambale best wa hovyo kabisa.
Huyo dada anatamanisha
Ubaya sio wewe unamuona tu hata walioko forbes
Siyo kweli runinga zinawadanganya ukimsogelea karibu usoni ananundu na mabaka yasiyoisha,
Anamguu zuri na umbo zuri ila usooni kama kambale best wa hovyo kabisa.
Ni kazuri ako afu kabishi kweli
Picha tafadhali