Ester Matiko ashindwa nguvu na madiwani wake

Ester Matiko ashindwa nguvu na madiwani wake

Ni maelekezo toka ngazi za juu but tunawaonya watuache wana tarime na Tarime yetu,
 
Si kamati kuu@tycoon, kuna watu hawatambui mipaka ya kazi zao, nahisi wanahiden agenda like mahusiano yasiyofaa, iko day tutawaanika live
 
Si kamati kuu@tycoon, kuna watu hawatambui mipaka ya kazi zao, nahisi wanahiden agenda like mahusiano yasiyofaa, iko day tutawaanika live

Sasa wewe kamanda unaielewa picha yenyewe na mazingira yake wacha wavivu wa akili waendelee kufuata upepo bila kujua picha lenyewe likoje.
 
Uchaguzi umeisha tunashukuru kura za madiwani zimeamua na Hamis Nyanswi ndie mwkt wa halmashauri ya Tarime mjini .,makamu wake ni Sauti.
 
Ni kweli kuna mgogoro kati ya Esther na madiwani wake, chanzo ni mh mbunge kutaka kuweka mwkt wa halmashauri anaemtaka yeye, toka jana vikao vimekaa na wameshindwa kuelewana.
Kuna shinikizo toka makao makuu kumsuport esther na vitisho juu, but madiwani wamegoma wanataka waweke mtu watakaemchagua wao sio Esther.

Kama Ni Ya Kweli Haya,basi Ni Kosa Kubwa.Kizembe Hivi Mnaweza Poteza Halmashauri. John Mnyika, Tumaini Makene Mpo Humu,toeni Maelekezo Maamuzi Ya Madiwani Waliowengi Yazingatiwe!!
 
Last edited by a moderator:
Uchaguzi umeisha tunashukuru kura za madiwani zimeamua na Hamis Nyanswi ndie mwkt wa halmashauri ya Tarime mjini .,makamu wake ni Sauti.

Mura,
Hao ni waloshinda ni madiwani wa chama gani?

Inatakiwa mumkarishe chini Esther na mumshauri kuwa abadilike!

Hao wajinga wa makao makuu wanaofanya upuuzi huo inabidi muwaanike!
 
Maagizo ya Mbowe? ungeyaweka hapa tukakuelewa, ni ujinga kujadili vitu ambavyo havina mantiki... cha ajbu tusivyokuwa na akili tutaendelea kujadili upuuzi.
 
naona umeguswa kunako ndo maana unabweka humu kama mbwa. mbona mabaya ya wapinzani wako yakipostiwa humu hushauri yakamalizwe kisirisiri?

Ndugu, nlichosema ni kuwa kama pana mgogoro ni vyema ukasuluhishwa kwa vikao vyetu vya chama kulikoni kuja kutangaza hapa jf....
 
naona umeguswa kunako ndo maana unabweka humu kama mbwa. mbona mabaya ya wapinzani wako yakipostiwa humu hushauri yakamalizwe kisirisiri?

Nadhani we ndo mbwa mwenyewe hasa
 
Back
Top Bottom