NawasilishaNasikitika sana kuambiwa kuwa nimempigia debe urais mh Zitto Kabwe. Huu ni uwongo wa kutupwa!
Tulienda Kigoma kuwaunga mkono wasanii wa Kigoma walioamuwa kwenda kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo cha vijana.
Nilienda kama mbunge wa vijana kwa ajili ya kuunga mkono vijana wenzangu. Huu ni uzushi mkubwa. Natambua kila chama kina utaratibu wa kupata mgombea urais
Ni urahisi au urais..?!
Mwambie naye aache USHAMBENGA kwa nini alifuatana na Halima Mdee? Yeye Zitto kamwita Halima yeye kaenda kwa niaba ya nani asifukunyue mengine ngoja tuusubiri mkanda
kwani hajaolewa huyu?si amesema alienda kuwa-support vijana wenzake
Mgombea urahisi ee? Naingojea hii video kwa hamu!
Mwambie naye aache USHAMBENGA kwa nini alifuatana na Halima Mdee? Yeye Zitto kamwita Halima yeye kaenda kwa niaba ya nani asifukunyue mengine ngoja tuusubiri mkanda
kwani hajaolewa huyu?
kuenda muziki tena mbali huko mwisho wa reli ndiko kunakontia mashaka..si zaidi.Kwani ukioa ama kuolewa ujana unaisha?
Mwambie naye aache USHAMBENGA kwa nini alifuatana na Halima Mdee? Yeye Zitto kamwita Halima yeye kaenda kwa niaba ya nani asifukunyue mengine ngoja tuusubiri mkanda
Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya (CCM) nae amekanusha kumpigia debe Zitto kwenye Urais.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika;
"Nasikitika sana kuambiwa kuwa nimempigia debe urais mh Zitto Kabwe. Huu ni uwongo wa kutubwa tulienda Kigoma kuwaunga mkono wasanii wa Kigoma walioamuwa kwenda kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo cha vijana. Nilienda kama mbunge wa vijana kwa ajili ya kuunga mkono vijana wenzangu. Huu ni uzushi mkubwa. Natambua kila chama kina utaratibu wa kupata mgombea urahisi"
Nawasilisha