Estate Agents are Unregulated in Tanzania

Juma Contena!

I completly fail to understand the way you judge people, just like it happened to Comred John Mashaka!

I've studied Economics since in secondary school and my Bsc in Real Estate Economics is very unfortunately outside African Universities to give you a benefit of doubt! The principles of ecomonics are therefore at my finger tips. Unless you are talking of advanced economics like econometrics and the like!

Nevertheless, I completly give you a cold shoulder on that Tanzanian Univesrities are not providing quality education. We have witnessed a lot of Tz people holding international posts with local degrees obtained from Tz, and they have been sometimes beating the WaTHUNGU badly on interview.

So usibeze vyuo ya nyumbani mzee!

If you noted in my arguments, I am trying to superimpose in our Tanzanian ecenomy how real estate market is practised elsewhere due to my experience outside there!

Kindly if you can also come back to build your nation!
Sir Expert, mi ni mtu ambae napenda ku-question na a realist. Kwenye swali lazima nipate jibu kama sio kwangu hata kwa mwingine ndipo mara nyingi uridhika. Hila haya mambo ya ku-explain without without deep analysis ujue hayatusaidii na wala hayatuendelezi as a nation wala kutupa solution ya matatizo yetu chungu mtele. Mimi ingawa simjui JM hila nina deep respect sana kwa huyu jamaa kutokana na umri wake, matendo, na achievement zake ambazo ni way above me as we speak: na we are almost equal age. To me somehow he is a role model kwa vijana ambao tuko west, its possible to hit that jackpot JM has proved. kwani huku hupewi bali unajitengenezea, na Mashaka ameonesha ya kuwa ni achiever. Na elimu ya bongo ingawa mimi nimeondoka long time, hila niliingia mpaka form two hapo bongo (Umbwe) na nilikutana na watu hapo ni noma kichwani. Sasa hapa si dharau akili za watanzania hila ni wakati wa kuleta changamoto na serikali iwaandae hawa watu vilivyo. Mimi ni average student almost, na kuna dada mmoja yupo Ujerumani nilikua namuandikia essays zake zingine na alikuwa tayari ana degree hapo mlimani. I was appalled na kazi zake alizokua ananitumia nizicheki na namjua si zezeta wa hivyo nilikua nae primary. Sasa ndio najiuliza wanajifunza nini huko, maana the idea of higher education is to prepare people well enough to understand their fields and be experts huko waendapo. Iwapo unakutana na mtu ambae ana degree alafu ajui ata ku-construct an argument lazima ujiulize how. Kwani asingekua kaletwa ulaya na wazazi wake, si angekua bongo hapo anafanya kazi ya maana na mnasema ana degree. Ukati ni kichwa chake ni kwa ajili ya purpose ya kukuza nywele tuu nothing was inn. Hii sasa inaonyesha elimu yetu aiwasaidii hivyo average students bali magenius tu. Na tunahitaji the whole society to be bright ili tupate changamoto za kweli. Hivi unafikiri kwenye wasomi Lowassa and co mpaka leo wangekua madarakani au Kikwete angeshika urais never.
 
Sir Expert, mi ni mtu ambae napenda ku-question na a realist. Kwenye swali lazima nipate jibu kama sio kwangu hata kwa mwingine ndipo mara nyingi uridhika. Hila haya mambo ya ku-explain without without deep analysis ujue hayatusaidii na wala hayatuendelezi as a nation wala kutupa solution ya matatizo yetu chungu mtele. Mimi ingawa simjui JM hila nina deep respect sana kwa huyu jamaa kutokana na umri wake, matendo, na achievement zake ambazo ni way above me as we speak: na we are almost equal age. To me somehow he is a role model kwa vijana ambao tuko west, its possible to hit that jackpot JM has proved. kwani huku hupewi bali unajitengenezea, na Mashaka ameonesha ya kuwa ni achiever. Na elimu ya bongo ingawa mimi nimeondoka long time, hila niliingia mpaka form two hapo bongo (Umbwe) na nilikutana na watu hapo ni noma kichwani. Sasa hapa si dharau akili za watanzania hila ni wakati wa kuleta changamoto na serikali iwaandae hawa watu vilivyo. Mimi ni average student almost, na kuna dada mmoja yupo Ujerumani nilikua namuandikia essays zake zingine na alikuwa tayari ana degree hapo mlimani. I was appalled na kazi zake alizokua ananitumia nizicheki na namjua si zezeta wa hivyo nilikua nae primary. Sasa ndio najiuliza wanajifunza nini huko, maana the idea of higher education is to prepare people well enough to understand their fields and be experts huko waendapo. Iwapo unakutana na mtu ambae ana degree alafu ajui ata ku-construct an argument lazima ujiulize how. Kwani asingekua kaletwa ulaya na wazazi wake, si angekua bongo hapo anafanya kazi ya maana na mnasema ana degree. Ukati ni kichwa chake ni kwa ajili ya purpose ya kukuza nywele tuu nothing was inn. Hii sasa inaonyesha elimu yetu aiwasaidii hivyo average students bali magenius tu. Na tunahitaji the whole society to be bright ili tupate changamoto za kweli. Hivi unafikiri kwenye wasomi Lowassa and co mpaka leo wangekua madarakani au Kikwete angeshika urais never.

Was is it enough to proove your hypothesis as a Guru Economist?
 
Sir Kimweri, Mkuu nimekusoma na nimekupata sana, na asante sana kwa msaada wako mkubwa. Hila ngojea niseme kitu kimoja tukiweza kukamata majambazi wote hapo dar; wengi hawatakua na sababu za kuzungushia ukuta wala kuweka walinzi magetini mwao. Its point less especially hao walinzi wangekua ni hasara tu kuwalipa. Point hapa ni hivi uwezi ukaweka ideal scenario kwenye situation uliyo nayo. Hii ndio ukweli wa kimaisha, unadili na fact zilizopo. Ntajaribu kufipisha hii post kwa kuwa sina enter button hapa kwenye hii laptop hila kuna kuna baadhi ya vitu ningependa majibu yako. Mfano kwani anaenunua shirt la designer au hawa ma-celebrity ambao wananunua expensive wear only for high street retailers to imitate the design for cheaper kuna kasoro gani hawa celebrities kurudia kununua tena kwa ma-designer wakati cheap copies zimejaa tayari high street? au hii nayo utaiita sifa. Pili umesema serikali au unaona wewe ni only through command laws ndio hii situation can be sorted how? Na mwisho au does the middle class somehow responsibe, kwanza are we a rigid class society and how do they come contribute with the proplem at hand.

We are fed up na hicho ki-laptop chako cha mtumba kila siku enter button wakati ulikinunua/kupewa hivyo! Kama mabox hayalipi kwa nini usirudi home ukajenga nchi kama E/Broker alivyokuomba?
 
Was is it enough to proove your hypothesis as a Guru Economist?
Umeona maandishi umechukulia kama disrespect, ona jembe uliite jembe. usijaribu kuona shoka ambalo lina ncha kali ukasema nalo laweza kuwa jembe. Shoka alichupia ardhi kama jembe. Truth be known mwenye busara atasema its a problem. Mwenye denial ataathitika milele. Unfortunately those are just facts of life you can never bend them trust.

We are fed up na hicho ki-laptop chako cha mtumba kila siku enter button wakati ulikinunua/kupewa hivyo! Kama mabox hayalipi kwa nini usirudi home ukajenga nchi kama E/Broker alivyokuomba?
Laptop ni shughuli ya dakika moja tu, kwa faida yako, si hii itaji currently na sioni sababu ya kutafuta nyingine kwa sababu ya JF its just economical reasoning. Mabox mi nimeacha kitambo kiuno kinauma mikono inaota sugu nimewaachia wengine na amini usiamini nikikwambia asilimia kubwa ya wabeba mabox ni wale waliokua waliokuja wakubwa, wanaokaa country au wanaoingia sasa. Ebu tembelea london town uone matusi ya wabongo. Kurudi bongo maisha sio kubahatisha mjomba kama mnavyofunzwa, wala kudandia ni mipango yako na mimi nina ya kwangu. Usichoke.
 
Tatizo ni kwamba hamna middle class in the real sense of the word, watu wamepigania miaka lukuki ili tuwe a classless society, matokeo yake ndiyo ushamba huu.

Kama alivyosema Kibra, tulikuwa tunagawana umasikini.

Sasa masikini akipata kalio hulia mbwata.

True!
 
Kimweri nimeipenda analysis yako. Lakini naona umekuwa ukizitaja classes za Tanzania. Binafsi sina hakika kama tuna class tatu; upper, middle na lower. Labda unisaidie ufafanuzi, just an overview cut off ya hizo classes inaweza kuwa income ya kiasi gani?
Pia ukweli ni kwamba Tanzania maisha yamepanda saana si kwenye estates peke yake bali hata kweny mahitaji mengine. Mf nakumbuka takribani miaka 4-5 iliyopita mchele (chakula kikanacotumiwa na wengi) Dar bei yake ilikuwa ni Tsh 400-500 per kg. Lakini leo hii tunaongelea 1500. Just five years. Pamoja na hizo ulizozisema sababu kubwa ya hali hii ni pesa yetu kukosa thamani. Na hili haswa lilichangiwa na kupandishwa mishahara serikalini kwa kiasi kikubwa miaka 4 iliyopita. Mfano mshahara wa Prof. uliongezeka kwa karibu mara 4. Unategemea nini hapo km si inflation...
Tunachoweza kufanya sasa hivi, ni kudhibiti mzunguko wa pesa (control of money supply), kuimarisha kilimo na miundo mbinu ili mazao yapatikane kwa wingi na yasafirishwe kwa haraka, serikali iendeleze mpango wake wa kuandaa kupima viwanja kwa kasi ukienda sawia na miumbo mbinu. Naamini tutafika
 
Sir Kimweri, Mkuu nimekusoma na nimekupata sana, na asante sana kwa msaada wako mkubwa. Hila ngojea niseme kitu kimoja tukiweza kukamata majambazi wote hapo dar; wengi hawatakua na sababu za kuzungushia ukuta wala kuweka walinzi magetini mwao. Its point less especially hao walinzi wangekua ni hasara tu kuwalipa. Point hapa ni hivi uwezi ukaweka ideal scenario kwenye situation uliyo nayo. Hii ndio ukweli wa kimaisha, unadili na fact zilizopo.

I totally agree with classes,a fool who thought people would be same must have overseen the very primary reason of our existence.
We are different,biologicaly,religiously,scientificaly..,you name it!in physics we call it entropy,energy moves around always!point/difference is change is an inevitable part human life.

Tukirudi kwenye issue ya kuwa na Uniform trouble-less society from Masaki to Ubungo to Mbezi,that is a bit far fetched.BUT imagine we had 500 patrol cars,a modernized police(just close to our current parliament-with cars and ICT stuffs etc)..,HAKUNA SABABU YA MAJAMBAZI KUSUMBUA WATU MANZESE WAKATI NI just 7 kms from MASAKI!!hakuna mto katikati au Bahari,point is Dar ni mji mdogo mnoo..,wakubwa wana-concentrate resources walipo wao tu.check this..,you have a safe mikocheni,safe masaki,a not so safe mwenge then you have a safe mbezi beach 25kms away!!huu ni utani..,

Tofauti ya Mabibo(uswahilini) na Masaki(uzunguni) ni kubwa mno hadi inakera.
Masaki kuna:-UMEME,MAJI,USALAMA,na huduma nyingine nyingi za msingi..,MABIBO na kwengineko uswahilini kila kitu ni kinyume cha UZUNGUNI.

Ntajaribu kufipisha hii post kwa kuwa sina enter button hapa kwenye hii laptop hila kuna kuna baadhi ya vitu ningependa majibu yako. Mfano kwani anaenunua shirt la designer au hawa ma-celebrity ambao wananunua expensive wear only for high street retailers to imitate the design for cheaper kuna kasoro gani hawa celebrities kurudia kununua tena kwa ma-designer wakati cheap copies zimejaa tayari high street? au hii nayo utaiita sifa.
Siajkupata hapa kikamilifu lakini ma-celebrities ninaowajua hardly buy anything...,they mostly get freebies..,hela wanazo kununua tununue sie kina kapuku.
Hii kuvaa nguo zinazovaliwa na ma-celebrity ni pop culture byproduct you have to live with it as long as you want to be hip.
Again capitalism is a complex matter,no one alive will llive to see how 100% capitalism society will look like.

Pili umesema serikali au unaona wewe ni only through command laws ndio hii situation can be sorted how? Na mwisho au does the middle class somehow responsibe, kwanza are we a rigid class society and how do they come contribute with the proplem at hand.
Yeah i honestly believe only order from the government will restore things,BUT again this will be a contradiction of our policies,something JK gov is not willing to do,they can't afford to stand out.the guy just take care of daily stuffs..,nothing outstanding from his Team,so not leadership type!
Mfano nchi kama US watu wanafikiri is a 100% free from regulations,no limit,capitalist country!but the truth is they have gazillions of regulations.
Kuna masheria kama Anti-dumping laws,FCC(hawa wanachuja electronics zinazouzwa US)..,na maupuuzi mengine kibao tu..,hawa jamaa wamekaa kama gatekeepers kuchuja pumba na mchele(point is hata the biggest capitalist ana control).

Mimi nina self definition kuwa,anyone owning a house(iwe sinza au Buguruni,au manzese)..,working and getting a considerable salary,takes kids to school,pays for medicals,ana watoto wa mjomba anawasomesha etc..,HUYU NDIO MIDDLE CLASS WA TANZANIA..,

ofcourse hapo pia kuna madaraja,kuna low middle class,wale walio-kwenye daraja la chini la vyeo,mapato madogo,wanaishi sehemu za kawaida etc..,
na kuna upper middle class,wale wanaoishi kijitonyama,mbezi,kinondoni,mwenge etc..,hawa ni mameneja,wakuu wa idara,wakuu wa vitengo etc,wanamiliki magari kadhaa,wana nyumba kadhaa,wanasomesha watoto shule nzuri,wengi wamesoma nje etc..,sio matajiri ila wako content na maisha.hawa wengi huitwa mapedeshee mjini au "Mzee" or "mama".

Then kuna UPPER CLASS wa bongo hawa Tunawajua,they are kingmakers,they make TZ go around,90% live in MASAKI,OBAY,MBEZI BEACH,KAWE BEACH,MIKOCHENI..,waishi wapi wakati kamji kenyewe kadogo!

hawa wana ndio waendesha nchi,kwa maana kuna mawaziri,wabunge,wafanyabiashara wakubwa..,wengi wao wana offshore accounts na wanamiliki biashara au investments kubwa tu.au wameweka hela kwenye mafriji yao!
Hawa 99% ya matatizo ya watanzania hayawahusu!!kuna mdau aliwahi kusema kwenye moja ya mabaraza ya HUMU ndani.

ELIMU TZ MBOVU-wanapeleka watoto wao kusoma nje
BARABARA HAZIPITIKI-Wananunua AWD VX's zinazopita barabara zote.ofcourse kwenye makazi yao 90% kuna lami.
MATIBABU MABOVU-wakiumwa mafua tu,INDIA,UK,US kufanyiwa checkups
MACHAFUKO YA KISIASA-haooo canada,US etc!!mnakumbuka zanzibar??
UCHUMI MBOVU(HAMNA PESA)-wanatafuta sababu,stimulus plan zao(vitambulisho vya raia,Kilimo kwanza,etc ili tu kujiwekea money security ya mifuko yao)

huo hapo juu ni mfano mdogo tu kuonesha kuwa matatizo ya TZ hayatatuliwi na UPPER class..,aka VIONGOZI wetu!!sanasana wanayaongeza.

Matatizo ya tanzania yanatatuliwa na MIDDLE CLASS.FULL STOP.we became head-less chickens the moment these middle class started dreaming of the promised UPPER CLASS land all day long!
Badala ya kufanya kazi sasa kila mtu anatafuta mbinu y akumuibia mwenzie,ukienda dispensary bei juu,ukienda sokoni,bei juu,ukienda kupanga bei juu,kila sehemu MIDDLE CLASS wameharibu..,

Utakuta kuna kijeba kinaenda ofisini siku nzima ni kutafuta mianya ya RUSHWA,kufukuzia SEMINA zisizomhusu,kuwekea ngumu watu walioenda kufuata huduma ili watoe chochote,nothing productive.

Every other middle class man & woman now is thinking of owning a car,buying/building a big house in affluent area codes and fisading something..,

Siwaongelei LOWER CLASS wa tanzania kwa sababu hawa ni WAHANGA wa MIVURUNDO ya haya makundi mawili makubwa..,LOW CLASS TANZANIANS are so beaten up by hard life they are almost speachless,wanaishi kwa matumaini,wamepoteza maana ya maisha bora.wanasubiri kila baada ya miaka mitano,mabwana wakubwa washuke kutoka kwenye ma-VX yao,waache mahekalu yao kuja kuchukua KURA na kuwapa KULA japo kwa muda mfupi,after that GAME OVER.
inasikitisha sana,lakini kundi hili linajumusiha asilimia zaidi ya 90 ya watanzania.Wale wanaodandia kwa ndugu mijini,wale waliokata tamaa n akusubiri mvua vijijini,wale walioamua kuwa vibaka na wababaishaji mjini,hii ni nguvu kazi iliyokata tamaa siku nyingi mnoo

SASA hili tatizo la ARDHI,NYUMBA na mengine mengi WANAOSABABISHA ni MIDDLE class kwa sababu LOW CLASS are clueless,education less,don't care,and are not involved.

UPPER CLASS alone couldn't make such a MESS without the help of MIDDLE CLASS without their HELP.

personally i am really HURT by what the middle class Tanzanians have done to SCREW UP TANZANIA and TANZANIANS..,guess what!they are so quick at blaming the UPPER CLASS.
 
Kimweri nimeipenda analysis yako. Lakini naona umekuwa ukizitaja classes za Tanzania. Binafsi sina hakika kama tuna class tatu; upper, middle na lower. Labda unisaidie ufafanuzi, just an overview cut off ya hizo classes inaweza kuwa income ya kiasi gani?
Pia ukweli ni kwamba Tanzania maisha yamepanda saana si kwenye estates peke yake bali hata kweny mahitaji mengine. Mf nakumbuka takribani miaka 4-5 iliyopita mchele (chakula kikanacotumiwa na wengi) Dar bei yake ilikuwa ni Tsh 400-500 per kg. Lakini leo hii tunaongelea 1500. Just five years. Pamoja na hizo ulizozisema sababu kubwa ya hali hii ni pesa yetu kukosa thamani. Na hili haswa lilichangiwa na kupandishwa mishahara serikalini kwa kiasi kikubwa miaka 4 iliyopita. Mfano mshahara wa Prof. uliongezeka kwa karibu mara 4. Unategemea nini hapo km si inflation...
Tunachoweza kufanya sasa hivi, ni kudhibiti mzunguko wa pesa (control of money supply), kuimarisha kilimo na miundo mbinu ili mazao yapatikane kwa wingi na yasafirishwe kwa haraka, serikali iendeleze mpango wake wa kuandaa kupima viwanja kwa kasi ukienda sawia na miumbo mbinu. Naamini tutafika

Tuna classes in Tanzania for all the wrong reasons..,tazama post yangu liyopita nimejaribu kuelezea zaidi.

LOW CLASS
hawa wanachezea viwango vya IMF,chini ya dola moja kwa siku peridod!total assets low than 5M and their asserts are not even viable in financial terms..,hawakopesheki,hawadhaminiki..,wapo wapo tu,hamna anayewajali,ndio wanaoiweka CCM madarakani kila siku!!(Strange!!)
around 80%.
Unaweza kuta Baba anapata mshahara wa laki 1,lakini ana watoto watano,mke asiyefanya kazi na watoto wa mjomba juu!!pata picha.

LOWER MIDDLE CLASS

Hawa ni normal workers wa Tanzania,baba na mama wanafanyakazi,familia sio kubwa sana,collective income ni kama 5M kwa mwaka.Assets can be anywhere between 10M to 20M.wanakopesheka na CRDB,NMB,na SIDO,mwisho!wafanyabiashara wengi wa tanzania wanaangukia hapa pia.

UPPER MIDDLE CLASS
hawa wana afadhali kidogo,collective income is somewhere between 20M to 50M kwa mwaka,Assets anywhere from 50M to 100M.wana access na UPPER CLASS japo kwa macho au mahusiano ya kikazi..,(biggest screwups of Tanzanians hawa).
Wengi ni wafanyabiashara waliofanikiwa kwa viwango vya kitanzania,au wakuu wa Idara au vitengo.
wanaweza kusomesha watoto wao vyuoni bila shida,kuwapeleka english medium schools bila tatizo

UPPER CLASS
Hawa ndio Fat cats wa Tanzania,wengi ni WAFANYABIASHARA WAKUBWA(mengi,jeetu et al..,),WABUNGE,MAWAZIRI,etc..,

hawa income zao kwa mwaka ni upwards of 100M and assets are anywhere between 500M to 5B..,kuna wachache wana assets zaidi ya 5B.wachache sana..,am convinced hawazidi 100 kwa tanzania.
 
Its a good analysis but I think large percentage of people are left uncategorised. Yaani kwa cut off ya 5 mil kwenye low class mh that is to high. I do propose, there should be atleast three classes in each of the class. Mf. Lower Class; lower lower, lower middle and lower upper. Maana mie mwenyewe hapo class yangu haipo.
Back to the point. Kuregulate real estates haiwezekani na hili nilishawahi kusema cha msingi ni kustimulate supply ya estate kwa kuandaa miundo mbinu na mortgage. Maana hakuna sheria ambayo tumeweza kuisimamia kwa ukamilifu. Dar imekuwa ni expensive saaana. Kuna watu wanafanya kazi ili walipe rent, sasa maisha gani haya? No saving!!
 
Its a good analysis but I think large percentage of people are left uncategorised. Yaani kwa cut off ya 5 mil kwenye low class mh that is to high. I do propose, there should be atleast three classes in each of the class. Mf. Lower Class; lower lower, lower middle and lower upper. Maana mie mwenyewe hapo class yangu haipo.
Back to the point. Kuregulate real estates haiwezekani na hili nilishawahi kusema cha msingi ni kustimulate supply ya estate kwa kuandaa miundo mbinu na mortgage. Maana hakuna sheria ambayo tumeweza kuisimamia kwa ukamilifu. Dar imekuwa ni expensive saaana. Kuna watu wanafanya kazi ili walipe rent, sasa maisha gani haya? No saving!!


ofcourse kumuweka kila mtu humo kwenye class si rahisi..,Low class wa Tanzania hana income ya 5M!!ana assets zenye thamani ya 5M maximum..,na hapa asilimia kubwa ya assets za low class ni Ardhi..,

income yake ni chini ya dola moja kwa siku..,

Lowere middle class income yake haizidi 5M kwa MWAKA..,nadhani umenipata sasa..,

Savings ni culture,watanzania hatuna hii..,hakuna sababu ya kwenda bar kila siku au kuchangia Harusi kw asifa kama tunavyofanya hasahasa kwa middle class..,

Lower class hawa hawana option..,in easy words they are fcuked!kila wanalofanya sio jema kwao..,hawa ndio wanaamrishwa kufanya kazi kwa bidii kila siku..,wengi wao wameshafanya kazi kwa bidii kwa miaka 30 bila unafuu wowote..,

Kuhusu kufanya kazi kulipa Rent Dar hilo kweli kabisa!
 
Sir, Kimweri mkuu ningeanza na kusema asante kwa maelezeo yako ya class hapo bongo. Pili kitu ambacho labda sikukiweka sahihi ktk post yangu ya awali ni kuhusu argument yako ya class inasababisha haya mambo ya kupandisha bei za bidhaa au kwa lugha yako ina help to nurture the the problem, particularly the topic at hand real estate. Nilipo uliza class kwa namna ulioileta wewe kwenye post ya awali nilikua na maana ya kwamba so far Tanzania tume-prove social mobility exists in our land, hivyo its not a rigid problem. Currently those, who are at the bottom end are mainly due to birth. Hila given the right chances au wanaowapata wazazi ambao wanataka watoto zao wafanikiwe kwa jitihada zao mafanikio ni possibilities. Hivyo some will raise from their orgins and out of povery again this is common. Haya mambo yangekua yapo India labda kutokana caste system ndio labda tungeweza sema hii argument ina nguvu, lakini in Tanzania rises and falls into social ladder are a common occurance. Ndio sababu in the back of my nilipoweka mifano ya makuta na walinzi, hii ilikuwa ku-reflect your argument, kwamba eti miundombinu mizuri ingekuwepo baadhi ya sehemu zisingekua na bei hizo. Which is true na ndio nikasema hayo ya baadae haya saidii sasa. Kwani currently prices are high na hivyo ni problem into the social kwa sababu nyingi sote ambazo tunazijua. Je suluhisho hapa liko wapi? Nimekusoma mkuu na nimekupata sana kwenye post yako ya mwisho naona umetupa lawama kwa middle class alafu at the same time ukasema kwamba na wao wanalazimisha life fulani bila ya kipato halali, hivyo wanabidi wajifunze ku-compromise within their means. Sasa hata hawa agents ni somehow working individuals earning millions in some transactions zao zikienda sawa hivyo hawa nao ni problem ile ile ambayo umeileta wewe ya kwamba wanajaribu kuiba, zulumu, ongopa na kuua maendeleo to sustain life ya hawa middle class. Wote hawa ni tatizo kwangu na tatizo si middle class, wala the elites of our culture. Tatizo ni Rushwa, ndio nasema with that sorted people will suffer hila prices zita ji-sort zenyewe au je we unaonaje?
 
Taratibu Mr. Great Thinker, ulianza vizuri, sasa unaharibu mkuu!
To sir expert,
Hata mimi nime observe kwamba, these invade real estate agent ndio wanao haribu market ya real estate hapa tanzania kwa sasa, hivyo there is a need of having regulations that will control these dalali. kwa sababu wanaaribu profession ya watu. Mfano juzi nimekutana na dalali mmoja, alikua anapeleka mteja anataka kurent a property, and when he finished talking to his client, I had a few chat with him and I ask him few questions, what surprise me the guy doesn't know even what are the role of broker in real estate market and also he doesn't have any knowledge concerning real estate or properties, then I ask him how do you operate? the guy alikua anang'aa macho tu...
icon9.gif

Also you have been in industry for a long time know I think you have a lot of experience concerning real estate brokerage industry and real estate marketing in TZ, I want you to give me a few hints because I wanna do a research (dissertation) concerning impact of unprofessional real estate agent in tanzania.....
icon14.gif
 
Hapa nadhani tunakosea kuwaluamu hawa estate agents. Tukumbuke kwamba Tanzania is now a capitalist society or so it is supposed to be, hivyo brokers are only putting the price that their market will pay. Si kwamba nakubaliana na hizo bei, yes hapa there is a flaw somewhere lakini the finger of blame shouldnt be pointed at the brokers or by trying to restrict the market. If people are affording to spend on these ridiculous prices then let it be. But how are they financing these purchases this is where the quary should concentrate. Im assuming for most it is the bank loans, hapa ndio investigation yenyewe au regulation yenyewe inapo hitajika. Sehemu ya kuchunguzwa ni hapo kwa kweli watu wana keep up with their payments au ndio hadithi kwa percent ngapi annually (repossesion rate). We expect two probabilities hapa, if the banks are making profits on these loans ujue the market is correct on the other hand if the bank is making loss ujue those prices are artificial. Also the bank should be blamed for causing this inflation. Remember the cause of inflation is the availability of too much money on a sector. Kwa hivyo the dealers are not to blame at all hapa. Only time will tell someone will loose in the long run my bet is the taxpayers. Hela ambayo ingetumiwa kujenga barabara baadae utaambiwa ifidie hasara za benki no wonder kila siku zinakufa.

I just hate John Mashaka For no apparent Reason. I just hate him, Don't know why
 
Hii topic nzuri mno, ila watu wamei discuss kima hasira mpaka hata kuifuatilia inakua kazi.

Ingekua bomba watu wangeshupalia title ya discussions, maana wanatoka nje ya mada kabisa!
 
Its a good analysis but I think large percentage of people are left uncategorised. Yaani kwa cut off ya 5 mil kwenye low class mh that is to high. I do propose, there should be atleast three classes in each of the class. Mf. Lower Class; lower lower, lower middle and lower upper. Maana mie mwenyewe hapo class yangu haipo.
Back to the point. Kuregulate real estates haiwezekani na hili nilishawahi kusema cha msingi ni kustimulate supply ya estate kwa kuandaa miundo mbinu na mortgage. Maana hakuna sheria ambayo tumeweza kuisimamia kwa ukamilifu. Dar imekuwa ni expensive saaana. Kuna watu wanafanya kazi ili walipe rent, sasa maisha gani haya? No saving!!

i dont think there is mechanism in place to regulate it
 
ongezeko la pesa chafu kwenye mzunguko wa pesa

As a professional in Real Estate hili inabidi lifanyiwe kazi kwa haraka sana. Pesa haramu nyiingi sana zimeingizwa kwenye uwekezaji wa ardhi. kulikuwa na thread ya pesa za maharamia na majumba mbezi pia msisahau Wakili Mwale ana kesi na amewekeza kwenye kununua ardhi na kuspeculate hapo unategemea nini baada ya muda. Hii ni challenge ssana kwa sisi valuers. Niina kesi nyiingi sana nimekutana nazo zaidi ya local agents thamani ya ardhi Tanzania inaathirika sana na vitu ambavyo ni outliers to the land market.
 
This area needs a thorough discussion, more than it has been done in here, we need to see to it that these "madalali's" are in a way regulated. we have them even in JF
I find it safe to think that if they are not timely regulated they will turn "us" into paupers.
 
Jamani tofauti. Za bei za nyumba sio bongo tu hizi rent kuwa juu ni sehemu nyingi duniani hebu tufikirie unagorofa mbezi kisha hapo hapo jirani ana nyumba ya kawaida bei zitakuwa sawa kweli japonica wote mko mbezi
 
Back
Top Bottom