Espionage Specialists: Majasusi wanagunduliwa na kukamatwa kwa namna na njia gani?

View attachment 557753

CNN na hata BBC wamekuwa wakionesha mashushu wa mossad wanavyoshtakiwa Iran. Wale wa FSB ya Russia wanakamatwa na kurudishwa Urusi ama kufungwa marekani.

Mimi dada yenu na urembo na umri wangu huu sijawahi kusikia katika vyombo vya habari eti kuna mtu hapa Africa amekamatwa na kushatakiwa eti kwa kufanya kosa la kufanya ujasusi (espionage)

Hawa spies ina maana hawakamatwi ama wakimatwa wanarudishwa nchini mwao?

Yours faithfully,

Girl Next-door,

Nawasilisha.
Girl Next-door English inapanda vizuri? Kama jibu ni ndiyo basi kuna mstaaafu wa CIA naitwa Jason Matthews. Huyu jamaa ameindika vitabu vitatu mpaka sasa hivi. Ni fiction lakini vinaelezea hali halisi ya majasusi, wanavyochaguliwa, wanavyo operate na wanavyogundilika. Ukisoma vitabi vyake vyote ukavimaliza basi utaona kuwa vi-nchi vya dunia ya tatu kama Tanzania hatuna siri na kila kitu chetu kinajulikana. Vitabu vyake ni: Red Sparrow, Palace of Treason na The Kremlin’s Candidate.
 
Mkuu tuwekee pdf ya the Kremlin's candidate
Girl Next-door English inapanda vizuri? Kama jibu ni ndiyo basi kuna mstaaafu wa CIA naitwa Jason Matthews. Huyu jamaa ameindika vitabu vitatu mpaka sasa hivi. Ni fiction lakini vinaelezea hali halisi ya majasusi, wanavyochaguliwa, wanavyo operate na wanavyogundilika. Ukisoma vitabi vyake vyote ukavimaliza basi utaona kuwa vi-nchi vya dunia ya tatu kama Tanzania hatuna siri na kila kitu chetu kinajulikana. Vitabu vyake ni: Red Sparrow, Palace of Treason na The Kremlin’s Candidate.
 
Hakuna cha CIA aliyekamatwa arusha mkuu wale ni wamarekani tu walikuwa wanatalii mbwembwe za usalama wa taifa kushuku watu wakaona soo kusema wamekamata watalii wakasema ni majasusi thats why waliachiliwa maramojana passport zao walirudishiwa,
Kiuhalisia majasusi wengi ambao wanakamatwa hapa Tanzania ni majirani zetu wanaongozwa na Wakenya,then Waganda,then Wanyarwanda then Wamalawi na wengi wao hupotezwa juu kwa juu baada ya kuhojiwa vilivyo the same applies to majasusi wetu wanaokamatwa kwenye hizo nchi husika,
Ugumu wa kuwakamata majasusi wa mataifa makubwa kama marekani,china,urusi,uk,na wengineo ni technology wanayotumia kufanya ujasusi,wenzetu wanatumia satellite,sattellite phones na vifaa vya kisasa vya mawasiliano ambavyo TCRA hawana access navyo,ikumbukwe kuwa ujasusi hutumia 90% ya kazi yao kwenye mawasiliano,na hata hao majasusi woote ambao wanakamatwa 99% hukamatwa wakati wakufanya mawasiliano!sasa wenzetu wamewekeza sana kwenye technology ya mawasiliano kiasi kwamba ni ngumu kujua njia zao za mawasiliano zimekaaje,wanaweza kumuweka mtu ofisi yoyote ya serikali akawa anawasiliana nao direct na wao kupitia satellite!
Mataifa makubwa ya dunia ya kwanza yakitaka kufanya ujasusi kwenye mataifa ya dunia ya tatu (mataifa maskini ya africa) ni rahisi sana wana majasusi wao kibao ambao wanatumia miamvuli ya mashirika ya misaada!(USAID,OXFARM,UNICEF,UNHCR,ILO,IFAD.......),Wana makampuni kibao chini ya miamvuli ya uwekezaji!
Kitu cha mwisho ni kwamba zana zetu za mawasiliano mfano mitambo ya Simu,Simu,Switching centre(PSTN),Microwave radio,Radio Calls,Routers,Computers,Radar,Satellite,Optical Fiber (mkonge wa mawasiliano),Softwares,Social networks,Servers,Media Getways vyoote hivi "VINATENGENEZWA KWAO!!!" wao sio wajinga wakakuuzia kitu ambacho hawawezi kukicontrol so ni easly sana kwao kutuspy na ningumu sana kuwakamata! sisi ni wazuri sana kufanyiana ujasusi hapa hapa kwetu mfano kujua Tundu Lisu kawasiliana na nani,kamtumia nani sms ,Mbowe anakwenda wapi,Lowasa kaongea nini,Jambazi yule anatumia namba gani na yupo wapi,nani kamkosoa raisi basi ndio mambo tunayoyaweza hayo makubwa ya akina CIA sisi ni wasichana kabisa!!!!!
nakubaliana na wewe 100%.
wenzetu katika kukusanya taarifa za kijasusi wamewekeza sana kwenye GEOINT na SIGINT.

sisi kwa nafasi kubwa bado tumewekeza sana kwenye HUMINT. hii inatokana na uduni wa teknolojia tunazotumia na hata kama tunatumia mifumo ya teknolojia za mataifa ya nje, bado teknolojia hizo sio za kuaminika sana kwasababu aliyekuuzia mfumo huo anaweza ku-temper nao mda wowote akijisikia kufanya hivyo au ukienda kinyume naye.
 
Girl Next-door English inapanda vizuri? Kama jibu ni ndiyo basi kuna mstaaafu wa CIA naitwa Jason Matthews. Huyu jamaa ameindika vitabu vitatu mpaka sasa hivi. Ni fiction lakini vinaelezea hali halisi ya majasusi, wanavyochaguliwa, wanavyo operate na wanavyogundilika. Ukisoma vitabi vyake vyote ukavimaliza basi utaona kuwa vi-nchi vya dunia ya tatu kama Tanzania hatuna siri na kila kitu chetu kinajulikana. Vitabu vyake ni: Red Sparrow, Palace of Treason na The Kremlin’s Candidate.
Hii Red sparrow kuna movie yake pia.
 
Back
Top Bottom