ESCUDO for SALE

Kennyville,
Utapata kazi kweli. Unajua karibu hao wote waliokujibu wameishagubikwa na mawazo ya nje,mpaka wanapiga hesabu za Km/day?Iko kazi.Waeleze kuwa kule TZ kwenye daily news tunauziana magari na hamna kuulizana mwaka,wala nini.Hawa wanaojidai kujua mambo ya Km ndio jamaa aliuziwa gari yenye Km ndogo lakini engine na gear box jamaa wakatoa na kumuewekea nyingine. Kama mtu angekuwa mnunuzi angekutumia PM kuuliza yote hayo na zaidi kuliko kuanza kukutuhumu kuwa unadanganya.
W/njema.
Kt
 
Kennyville,
Utapata kazi kweli. Unajua karibu hao wote waliokujibu wameishagubikwa na mawazo ya nje,mpaka wanapiga hesabu za Km/day?Iko kazi.Waeleze kuwa kule TZ kwenye daily news tunauziana magari na hamna kuulizana mwaka,wala nini.Hawa wanaojidai kujua mambo ya Km ndio jamaa aliuziwa gari yenye Km ndogo lakini engine na gear box jamaa wakatoa na kumuewekea nyingine. Kama mtu angekuwa mnunuzi angekutumia PM kuuliza yote hayo na zaidi kuliko kuanza kukutuhumu kuwa unadanganya.
W/njema.
Kt
mkuu nakuona ukifanya udalali hapo. umehaidiwa kamisheni nini?
ah umechokoza mwenyewe sasa subiri wanaoendesha magari kkilometa kwa saa wakusome ndipo utajuuuuuta!!!
 
ESCUDO ya 1993, colour Grey, auto, with air condition, 58 thousands KM,4WD - Price 5.6M if your Interested pls contact 0713227455
Sababu ya kuiuza next month nitakuwa Mauritius for almost two years kwahiyo its better to sell it

Escudo ya mwaka 1993 kutembea km 58,000 ni uongo wa kutupwa.
Gari hii ina miaka 16 ,hii ina maana imetembea kilometa 3,625 tu kila mwaka au kilometa 302 kila mwezi.
Kwa maana nyingine gari hili linafanyiwa service mara moja kwa mwaka!(after every 3000-4000km) na likienda Tanga(abt 350km) haliwashwi tena mpaka mwezi mwingine!
Kenny watch yer step!
 
Escudo ya mwaka 1993 kutembea km 58,000 ni uongo wa kutupwa.
Gari hii ina miaka 16 ,hii ina maana imetembea kilometa 3,625 tu kila mwaka au kilometa 302 kila mwezi.

Inawezekana alikuwa na gari zaidi ya moja na hii Escudo alikuwa anatumia mara mojamoja.
 
Mmh! samaki ana mengi ya kusema lakini maji yamemjaa mdomoni........
 
Mkuu nenda kwenye foleni, afu piga picha escudo yeyote utuwekee, tuna hamu ya kuiona.
 
Sipendi wala sitaki watu wanaoweka thread kisha wakibanwa kwa maswali wanaingia mitini.

Weka picha hapo!!!!!!!!
 
2009 - 1993 = 16yrs

58,000 / 16yrs = 3625km kwa mwaka

3625/12 months= 302km kwa mwezi

302/30 days= 10km kwa siku.


conclusin: coincidence kwamba wamiliki wote X katika series ya owners kuanzia gari iwe mpya wameweza kumaintain avarage ya km. 10 kwa siku is practically impossible.

Not necessarrily kuwa wote wametumia 10 km a day. Hesabu iko panda? ina maana gari kwa wastani limetembea 10 km a day. Lakini sio logic kusema wote waliomiliki gari hilo wameendesha 10 km a day.
 
Sipendi wala sitaki watu wanaoweka thread kisha wakibanwa kwa maswali wanaingia mitini.

Weka picha hapo!!!!!!!!
Nilisha isukuma the very first day nilipoweka tangazo humu tena kwa mtu ambaye hakuiona humu halafu humu niliona hakuna mnunuzi zaidi ya kutafuta makosa tu
 
2009 - 1993 = 16yrs

58,000 / 16yrs = 3625km kwa mwaka

3625/12 months= 302km kwa mwezi

302/30 days= 10km kwa siku.


conclusin: coincidence kwamba wamiliki wote X katika series ya owners kuanzia gari iwe mpya wameweza kumaintain avarage ya km. 10 kwa siku is practically impossible.

Nahisi inawezekana akawa anatembea hizo kilomita kwa mwezi with assumption anakaa upanga na anafanya kazi posta.
Very possible ila bado kuna utata pia.
 
2009 - 1993 = 16yrs

58,000 / 16yrs = 3625km kwa mwaka
hiyo gari ilikuwa ime park mda mwingi nini
embu tuweleze vizuri

Kuna probability from manufacturing ilinunuliwa ikawa inatumika na mjap kule Japan then ilipofikiwa uamuzi wa huyo mjap kuiuza yawezekana ilikaa yard kama mwaka au miaka 2 then ikaja bongo ikakaa sana baada ya kununuliwa ikiwa haitembelewi au yawezekana kuanzia 2009 mpaka leo ilikuwa inapigwa start tu kisha inaendeshwa hapa na pale then inakuja kupaki na isitoshe kuna uwezekano muuzaji hakuwa na matumizi makubwa, aidha anakaa Kariakoo na kufanya kazi Kariakoo kama mhindi.
Any more analysis?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom