Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Sikubaliani na wazo hilo. Hao ni wahalifu na lazima pesa waliyoiiba irudishwe na wahalifu hao kufikishwa mahakamani....wote bila kujali mtu. Utawala bora ukija uhakikishe hilo kwa sababu makosa hayasauliwi, hayasamehewi, hata ichukue miaka mingapi.
Hapa kaka ni kusubiri mpaka Mkulu atoke maana yeye ndiye aliyeratibu,akaidhinisha,akalipwa, na akawapa wengineili kuwafunga midomo.
Sasa kesi ya NYANI utampa ngedere kweli?Kwa sababu mnufaikaji wa kwanza ni MKULU ndiyo maana Mzee Tupatupa katuambia bora tunyamaze tugange yajayo.
Ukifika wizi mwingine tutapiga kelele yataisha,utakuja mwingine vivyo hivyo.Cha msingi wenye pesa zao wandelee kuzifungia mpaka VIONGOZI wetu wapate akili ya kujua mema na mabaya.