Escrow Scandal Bungeni: Data base ya Majadiliano

Escrow Scandal Bungeni: Data base ya Majadiliano

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Wakuu nimeona kwa vile sio wote wapatao nafasi ya kusikiliza au kuangalia mijadala ya Bunge letu kutokana na sababu tofauti tofauti basi si vema wakanyimwa kujua kinachoendelea ili kuwajua Wabunge na mawaziri wetu wanasema nini kuhusu jambo hilo kubwa kupata kulitokea taifa hili.

Ni kubwa kwa vile wananchi wengi wamekosa huduma mbali mbali hata wengine wamepoteza maisha kwa vile wahisani wamekataa kuchangia bajeti na ukweli ni kuwa sie hatujiwezi katika mambo mengi a msingi.

Thread hii itaweka pamoja yote yanayojadiliwa kwa pamoja ili wakati ukifika tutawapongeza watetezi na wanchi au kuwaponda wale wasaliti.
Tuanzie sasa kwa chochote kitakachotajwa kuhusu Escrow scandal.
 
Escow itadhoofisha team WAMA na team MIZINGA hivyo watajibeba EL Yuko viunga vya wizara elimu anabisha hodi getini magogoni muda mfupi ujao.
Rais wa ukweli na wa Maamuzi huku Prof busha akianza maisha ya kashfa mtaani na kina team WAMA na MIZINGA wakisikiliza redio Tanzania EL akihutubia na bunge likiendeshwa siwapatii picha watajibeba
 
Katika hali isiyo kawaida wakati wabunge wakitoa miongozo yao baada ya kipindi cha maswali na majibu Zitto Kabwe kasema yaliyotokea katika sakata hili la Tegeta Escrow a/c linaweza kufanyika tuu katika NCHI AMBAYO HAINA UDHIBITI WA VYOMBO VYA DOLA pekee. Na akatoa mfano kama Congo,Somalia au Siera Leone.
Hii inamaanisha kuwa yaliyofanyika ni madudu ya ajabu kupata kutokea na kuwa viongozi hawakuwa na hofu na dola. Jee hili halimgusi mkulu mwenyewe maana wateule wake wameamua kumdharau kabisa
 
Katika hali isiyo kawaida wakati wabunge wakitoa miongozo yao baada ya kipindi cha maswali na majibu Zitto Kabwe kasema yaliyotokea katika sakata hili la Tegeta Escrow a/c linaweza kufanyika tuu katika NCHI AMBAYO HAINA UDHIBITI WA VYOMBO VYA DOLA pekee. Na akatoa mfano kama Congo,Somalia au Siera Leone.
Hii inamaanisha kuwa yaliyofanyika ni madudu ya ajabu kupata kutokea na kuwa viongozi hawakuwa na hofu na dola. Jee hili halimgusi mkulu mwenyewe maana wateule wake wameamua kumdharau kabisa

Mweee hata likimgusa sasa anashtuka, we mgeni na huyu baba?
Anaeza hutubia juu ya hli swala huku akitabasamu kana kwamba anapokea misaada kwa wahisani. Hana sauti ya kiutawala.
 
Yaani kwa sasa wote waliohusika haijalishi mbunge wa kuchaguliwa au wa kuteuliwa as long as amepokea fungu tu aanze,asisubiri kupigiwa kelele.Tuwaambie wote TANZANIA kwanza wabunge baadaye.Waende tu hawatufai hata kwa bure.
 
Watanzania tulifanya makosa sana mwaka 2010 , haya tuyoyashuhudia leo ni adhabu kwa kutojali hofu ya Mungu.

Tumepata adhabu waliyopewa wana wana wa Israeli kwa kutofuata sauti ya Mungu.

Jiwe walilo likataa waashi leo limekuwa nguzo kuu kwa kuwatetea wananchi
 
Kashifa kama hii iliwahi kutokea inchi ya Zimbabwe miaka ya 80-90, ilibidi waziri mmoja ambaye namfahamu kwa jina alikuwa anaitwa MOURICE NYAGUMBO, Kashifa (scandal) ilimwelemea sana akawa hana uamuzi mwingine bali kujimaliza, alikula packet za sumu ya panya 16 akafa. Kwa hiyo naomba Jaji Warema aangaliwe sana , awe chini ya uangalizi round the clock, asije akachukua maamuzi magumu.
 
Kashifa kama hii iliwahi kutokea inchi ya Zimbabwe miaka ya 80-90, ilibidi waziri mmoja ambaye namfahamu kwa jina alikuwa anaitwa MOURICE NYAGUMBO, Kashifa (scandal) ilimwelemea sana akawa hana uamuzi mwingine bali kujimaliza, alikula packet za sumu ya panya 16 akafa. Kwa hiyo naomba Jaji Warema aangaliwe sana , awe chini ya uangalizi round the clock, asije akachukua maamuzi magumu.

Arudishe pesa halafu ajinyonge...
 
Escow itadhoofisha team WAMA na team MIZINGA hivyo watajibeba EL Yuko viunga vya wizara elimu anabisha hodi getini magogoni muda mfupi ujao.
Rais wa ukweli na wa Maamuzi huku Prof busha akianza maisha ya kashfa mtaani na kina team WAMA na MIZINGA wakisikiliza redio Tanzania EL akihutubia na bunge likiendeshwa siwapatii picha watajibeba

Nani Ampe Urais Fisadi?
 
Escow itadhoofisha team WAMA na team MIZINGA hivyo watajibeba EL Yuko viunga vya wizara elimu anabisha hodi getini magogoni muda mfupi ujao.
Rais wa ukweli na wa Maamuzi huku Prof busha akianza maisha ya kashfa mtaani na kina team WAMA na MIZINGA wakisikiliza redio Tanzania EL akihutubia na bunge likiendeshwa siwapatii picha watajibeba
Ndugu mshumbue kumbe siku hizi tezi dume ni busha? Hebu acha hizo kama akili huna hat a common sense tu? Samahani kwa hiyo sentensi maana mwenyewe nina mgonjwa wa kansa ya tezi dume ilihali hajawahi kupata busha. Prof Busha?? Kama unataka kumtusi Kikwete usiwatusi na wengine please.
 
Majina ya waliopokea mgawo wa fedha hizo yamesambaa mitandaoni toka jana sasa sujui kama watakapoyaona wabunge hasira zao zitawaka kwa kiasi gani.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    68.6 KB · Views: 389
Watanzania tulifanya makosa sana mwaka 2010 , haya tuyoyashuhudia leo ni adhabu kwa kutojali hofu ya Mungu.

Tumepata adhabu waliyopewa wana wana wa Israeli kwa kutofuata sauti ya Mungu.

Jiwe walilo likataa waashi leo limekuwa nguzo kuu kwa kuwatetea wananchi

Mkuu Ligera!
Kosa tulifanya toka 2005, tulipofuata mikumbo na upepo tu, na kuwaweka tusiowajua kwenye uongozi wa juu....na hata baada ya hapo, lilipoundwa Baraza la Mawaziri 60, tulianza kunung'unika chini chini...leo tunatamani kuwatosa baharini waovu wanaotudhulumu!
 
Kashifa kama hii iliwahi kutokea inchi ya Zimbabwe miaka ya 80-90, ilibidi waziri mmoja ambaye namfahamu kwa jina alikuwa anaitwa MOURICE NYAGUMBO, Kashifa (scandal) ilimwelemea sana akawa hana uamuzi mwingine bali kujimaliza, alikula packet za sumu ya panya 16 akafa. Kwa hiyo naomba Jaji Warema aangaliwe sana , awe chini ya uangalizi round the clock, asije akachukua maamuzi magumu.

Teh teh teh
Itakuwa vzr
 
Back
Top Bottom