wasipoleta hoja hiyo tutaamasicha waislam wote waikatae ccm tena kupitia misikiti na haitakuwa siri
Kuwa na mtazamo wa mbele wewe!! yako mambo ya mhimu zaidi kuliko hilo!!
Serikali haina dini!!
nadhani utasubiri sana!!
wasipoleta hoja hiyo tutaamasicha waislam wote waikatae ccm tena kupitia misikiti na haitakuwa siri
ccm wasipoleta hoja ya mahakama ya kadhi tutatumia misikiti kuamasisha waislam wote kuikataa ccm na haitakuwa siri kila msikiti ndio itakuwa hutba kila Ijumaa
kama safari ni ndefu acha iwe ndefu zaidi waislam wamechoka,Sheikh Ponda ananyanyashwa kwa sababu ya kutetea mali ya waislam lakini waliokula pesa za Escrow wanaachwa. kwa waislam kuamasisha kuikataa ccm sio agenda ya siri inatakiwa iwekwe wazi na ccm wajue hilo
Kuwa na mtazamo wa mbele wewe!! yako mambo ya mhimu zaidi kuliko hilo!!
Serikali haina dini!!
nadhani utasubiri sana!!
Don't bring frustrations to our legal system. Kama kuna uonevu waislamu wanauona kwenye current legal system basi kuna levels mbalimbali za kimahakama ambapo wanaweza kupeleka malalamiko yao. Raisi, Makamu wa Raisi, Jaji Mkuu, Attorney General wote ni waislamu, sidhani kama wangeweza kukubali uonevu kwa waislamu; so muwe mnaridhika.. Kila mtu akilalamikia dini yake, hatutafika nchi hii.
So shut up and work to develop the country kama mtanzania and not kwa kutazama "mimi muislamu" , "yule mkristo". Wakristo, mabudha nao wakianza kulalamika mambo ambayo yako evident kabisa (yamekaliwa kimya tu), sidhani kama nchi hii tutakuwa tunaijenga kwenye misingi ya amani, bali ya fujo. Acheni kuichafua hii nchi...
Don't bring frustrations to our legal system. Kama kuna uonevu waislamu wanauona kwenye current legal system basi kuna levels mbalimbali za kimahakama ambapo wanaweza kupeleka malalamiko yao. Raisi, Makamu wa Raisi, Jaji Mkuu, Attorney General wote ni waislamu, sidhani kama wangeweza kukubali uonevu kwa waislamu; so muwe mnaridhika.. Kila mtu akilalamikia dini yake, hatutafika nchi hii.
So shut up and work to develop the country kama mtanzania and not kwa kutazama "mimi muislamu" , "yule mkristo". Wakristo, mabudha nao wakianza kulalamika mambo ambayo yako evident kabisa (yamekaliwa kimya tu), sidhani kama nchi hii tutakuwa tunaijenga kwenye misingi ya amani, bali ya fujo. Acheni kuichafua hii nchi...
kwa hiyo kwa maoni yako watu wavumilie tu,hata kama wanaonewa wasije wakaonekana wanaudini basi kama hivyo ndivyo ilivyo basi tuwaachie mafisadi wazidi kututawala, waislam kuonewa sio kwa kuwa rais ni mkiristo au muislam ni mfumo wa ccm na serikali yake, na kama rais hataki kufuata mapendekezo ya bunge atawezajekuwasikiliza waislam