blix 2
New Member
- Feb 14, 2013
- 3
- 2
hawa jamaa majuz waliwaita jamaa kwenye oral ya customer care,jamaa wakafanya oral wakafaulu wakapewa makabrasha ya kujaza wakamaliza wakaambiwa j3 waende mlimani city tayar kwa training for that post sasa bas what happens next was stupid ikawa hivi, kufika pale kwanza wakazungushwa sana na dada 1 walioambiwa wamuone tangu saa 2 asubuh had saa 4 asubuh, mwisho wa siku yule dada akawackiliza alichowaambia ni kwamba waingie kwenye intaviw nyingine ya oral tena eti kweny kitengo cha sales and marketing ili waende mtaani wakauze modem na lain, kurud kule erolink moroco kuwauliza eti wanasema 2meamua kuwapeleka huko na hili limekuwa ghafl! kweli jaman hata kama kuna tatizo la ajira ndo a degree holder akafanye hivy tena kwa shling 3500, jaman kibaya! kwann iwe ghafl eti 2mectisha mkataba duuuu hawa jamaa hawafai