Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Taarifa zilizonifikia punde zinatanabaisha kuwa mmiliki wa magazeti ya udaku nchini Tz ndugu Erick Shigongo wawekwa kizuizini,
Haijafahamika nini tatizo hasa, ila nitawajuza punde tu nipatapo habari kamili!
Updates:
Kamnyanganya Chamelione passport,
Tatizo jamaa ana diplomacy passport!
Issue imeingiliwa na Museven mwenyewe! Bado anashikiliwa na
Anahojiwa na usalama.
Wanasema yuko interogation kwao!!
Wameanza convasation saa 7 zilizopita mpaka dakika hii!
Ipo video ingieni kwenye page ya fb ya "Walter Rumisha"
Haijafahamika nini tatizo hasa, ila nitawajuza punde tu nipatapo habari kamili!
Updates:
Kamnyanganya Chamelione passport,
Tatizo jamaa ana diplomacy passport!
Issue imeingiliwa na Museven mwenyewe! Bado anashikiliwa na
Anahojiwa na usalama.
Wanasema yuko interogation kwao!!
Wameanza convasation saa 7 zilizopita mpaka dakika hii!
Ipo video ingieni kwenye page ya fb ya "Walter Rumisha"