PreGE2025 Eric Shigongo: Nimekuja na mpango wa madarasa janja kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi wa Buchosa kufaulu masomo ya sayansi

PreGE2025 Eric Shigongo: Nimekuja na mpango wa madarasa janja kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi wa Buchosa kufaulu masomo ya sayansi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,233
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema amekuja na mpango wa smart classes (madarasa janja) kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi wa Buchosa kufaulu masomo yao hasa ya Sayansi na kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Buchosa na kueleza kuwa hawawezi kuwaacha watoto wa Buchosa wakawa wanafeli kwa sababu ya uhaba wa walimu.

 
Hawa wanasiasa Wangekuwa wanajielewa wangeanzia kuwafadhili wale waanzilishi wa Shule direct
 
Back
Top Bottom