Eric Omondi umefanya tukio la aibu kwa watanzania

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Huyu jamaa kampiga denda Elizabeth Michel a.k.a Lulu Jukwaani. Na amekua akiendelea kumtaja na kumsifia kila dakika.

Sijaona kama ni kitendo cha busara na hekima kabisa."Kitendo husika si sehemu ya maadili ya nchi yetu"

Mbaya zaidi leo umezingua hakuna ulichokifanya! Kila saa Diamond.
 
Nafikiri lulu ndio amefanya kitendo cha aibu kwa kukubaliwa kupigwa denda na mpita njia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…