Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,634
- 46,277
Katika kile kinachoonekana Uturuki kutamani sana na kuumizwa sana kwa kuwekwa mkwamo kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya, Rais wa nchi hiyo Erdoğan sasa ameamua kutumia turufu yake dhidi ya Sweden kujiunga NATO.
Erdoğan anasema wataondoa turufu yao dhidi ya Sweden kujiunga NATO pale ambapo mazungumzo ya Uturuki kujiunga EU yatakaporejeshwa na mchakato huo utakapokwamulia. Chancellor wa Ujerumani, Scholz amepinga vikali uamuzi huo akisema hayo ni mambo mawili tofauti kabisa.
Sweden ilishatimiza matakwa yote ya Uturuki ikuwemo kwarejesha Uturuki baadhi ya wapinzani wa Erdoğan waliokuwa uhamishoni nchini humo kabla ya madai mapya ya Erdoğan.
Marafiki wa Putin akili zao zina mfanano kwa kiasi kikubwa sana.
Wataalamu wa Geopolitics, Hivi NATO inaweza kuichoka Uturuki ikamfurusha kutoka umoja huo?
Erdoğan anasema wataondoa turufu yao dhidi ya Sweden kujiunga NATO pale ambapo mazungumzo ya Uturuki kujiunga EU yatakaporejeshwa na mchakato huo utakapokwamulia. Chancellor wa Ujerumani, Scholz amepinga vikali uamuzi huo akisema hayo ni mambo mawili tofauti kabisa.
Sweden ilishatimiza matakwa yote ya Uturuki ikuwemo kwarejesha Uturuki baadhi ya wapinzani wa Erdoğan waliokuwa uhamishoni nchini humo kabla ya madai mapya ya Erdoğan.
Marafiki wa Putin akili zao zina mfanano kwa kiasi kikubwa sana.
Wataalamu wa Geopolitics, Hivi NATO inaweza kuichoka Uturuki ikamfurusha kutoka umoja huo?